Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Mko gizani na hamjui nini kilicho mbele yeu!
Itabidi wazoee tu wajue tuna mwana uchumu ambaye hataki sera zake zisemwe imekua kama familia yake binafsi......
Watamuelewa Lissu vizuri zaidi.Itabidi wazoee tu wajue tuna mwana uchumu ambaye hataki sera zake zisemwe imekua kama familia yake binafsi......
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini gazeti limefungiwa ? jipe muda wa kujitafakari wewe kilamba miguu
vipi mtamtimua?Hasikitiki upotoshaji wa gazeti hilo?
Kwa hiyo waingereza si rafiki zetu tena? Pesa zao hamzitaki tena?sababu ni Lissu tu au kuna kingine?
Hahaha mabeberuKesho polepole atatwiti hivi
"Chama cha mapinduzi kinasikitishwa na uingereza kutaka kujitoa umoja wa ulaya"