Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
AminaKwa suala la UHURU wa kujieleza na kulinda faragha za wateja wake LONG LIVE JF
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ni uzalendo tuHivi Hawa jf wao wananufaikaje kwenye huu mtandao ,maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu. Sitak muamin et mb ndio faida yao ,maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana. Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
AminaMungu ibariki JF.
Hakika
Hujawahi kuona matangazo ya biashara humu?Hivi Hawa jf wao wananufaikaje kwenye huu mtandao ,maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu .
Sitak muamin et mb ndio faida yao ,maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
Kufanikiwa kwa JF ndio mafanikio yetu wapenzi wa demokrasia na uhuru wa habari na kujieleza
AmeenMungu ibariki JF.
Unaweza pia kumtumia Max japo Laki moja akanunua kifurushi sio vibaya.Hivi Hawa jf wao wananufaikaje kwenye huu mtandao ,maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu.
Sitak muamin et mb ndio faida yao ,maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
Dah, yaani wewe unafikiria urefu wa kamba tu!Hivi Hawa jf wao wananufaikaje kwenye huu mtandao ,maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu.
Sitak muamin et mb ndio faida yao ,maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
Wewe kuwepo JF tayari inamuongezea kipato kupata watangazaji wa biashara, hakuna mfanya biashara kichaa akatangaze biashara kwenye mazingira yasio na watu..nikuongezee nyingine? Nikikupa faida nyingine JF inapata utajilaumu kwanini hujawa na akili kama Maxence MeloHivi Hawa jf wao wananufaikaje kwenye huu mtandao ,maana naona tunaingia bure kabisa na kujimwaga tu.
Sitak muamin et mb ndio faida yao ,maana hata mb huu mtandao unakula kidogo Sana.
Mwenye uelewa plz anitoe tongotongo hapa
Dah, yaani wewe unafikiria urefu wa kamba tu !
Hawa ndo mods kumbe wa JFHii ndio taarifa mpya inayosambaa mitandaoni kwa sasa na ni Heshima kubwa sana kwa JF na ni recognition ya nguvu sana...