habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Km ni kweli mbaya sana, inakuwaje MTU anabaka? Nikukosa wanawake au?
😛Mbona muda tu kaka Hawa jamaa wana idhaa ya kiswahili.
UK wanayo
Usa wanayo
Saudia wanayo
China wanayo
Ujerumani wm
Mbona IPO muda mrefu mie nilianza kuisikiliza 2001 Sasa sijui ilianzishwa lini!
Uingereza wanaiyo idhaa ya kiswahili
Marekani wanayo
Ujerumani wanayo
Uchina wanayo
Saudia wanayo
Iran wanayo
Sijajua kuhusu mataifa mengine,kiswahili kinaeleweka sana ila sie waswahili hatujielewi.
Nalog off
Kabaka na kuua ajashtakiwa ila kaambiwa aondoke ndani ya saa 48 ndio nini sasa?