Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,241
- 138,764
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Andy Lentz amekutana na Padre Charles Kitima wakati akiendelea kupona kutokana na shambulio la kikatili dhidi yake lililotokea mwezi uliopita.Katika mazungumzo yao Balozi Lentz alisisitiza na kulaani vitendo vyote vya ukatili, hasa vile vinavyolenga kunyamazisha sauti za haki, maridhiano, na haki za binadamu.