johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Useme usiseme Dkt amekuzidi sanaa nduguBalozi atakuwa ameshangaa sn kuongea na mtu ambaye hajui tofauti kati ya R&L
Vipi Bashiru ameongea nini na Bashiru?Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.
Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.
Source Watetezi tv
Maendeleo hayana vyama!
Haya behaviouristMzee wa tumia dola kubakia kwenye dola!.Imagine ni PhD inapromote udikteta
Amenizidi nini?useme usiseme Dkt amekuzidi sanaa ndugu
Mambo ya dola.Mzee wa tumia dola kubakia kwenye dola!.Imagine ni PhD inapromote udikteta
Mmeshindwa kuvifuta na Sasa maji yamewafika shingoni, mnaenda kufutwa ninyi.Mambo ya dola.View attachment 1601015
Wakina nani wanaenda kufutwa mkuu?Mmeshindwa kuvifuta,na Sasa maji yamewafika shingoni,mnaenda kufutwa ninyi.
Wazee wakutumia Dola kujinusuru.Wakina nani wanaenda kufutwa mkuu?
HahahWazee wakutumia Dola kujinusuru.
Acha kumfananisha rais na vitu vya kijingaHahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.
ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!
Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Mmejidai jeuri Ila ujumbe mmeletewa nyumbani,ili mseme pia hamkuupata.Safi kabisa Balozi amemfuata Bashiru alipo, ila yule kibaraka yeye ataenda nyumbani kwa balozi.
Unaona tofauti sasa
Koo linaweza kudondoka kwa kukamuliwa huko.Hahah
Nileteeeeni gwajima
Nileteeeeeeeeeeeeni gwajima
Nileteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeni gwajima.