Balozi Polepole naye anadai reforms akiwa ndani ya CCM!

Balozi Polepole naye anadai reforms akiwa ndani ya CCM!

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,937
Reaction score
41,104
Salaam!

Kwa andiko ulilloandika Jana Mh Polepole, ni dhahiri kuwa, watanzania tumekusamehe madhambi yako yote ikiwamo Ile ya kuturingushia v8 tulliyokununulia kwa pesa zetu.

Baada ya Mh Gwajima,Mpina,Padre Kitima,Lissu, sasa ni zamu yako ndugu Pole Pole, ujasiri huu ni mkubwa,tunakupongeza.

Ishara ya kusamehewa makosa yako, ni hizi kauli za viongozi wa Kila upande akiwamo Nabii Lema kuungana nawe Katika kuchukua msimamo na hatua hii muhimu kwa wakati sahihi.

Sasa kwa kuwa, umesamehewa DHAMBI zako, jisamehe na wewe, usijihukumu na kuzikumbuka.

Tembea Kifua Mbele ndugu mzalendo Pole Pole.

Mungu Mbariki Ndugu Pole Pole.

Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿


Mungu ibariki operation ya NRNE 💪 🔥

Karibuni 🙏
 
Ila ukiangalia wakina mdude na soka na wengineo waliotoweka inatia uchungu sana zile damu za mdude zinaumiza sana Mungu afanye jambo.
Kauli ya mwakilishi wa Rais na nchi huko Cuba ni ishara kuwa Mungu anajibu kuomba kwetu.

NRNE 💪 🔥
 
Tayari ndugu Pascal Mayalla amesema " Uvumilivu una mwisho wake"
Umesema?
20250713_194913.jpg
 
Salaam!

Kwa andiko ulilloandika Jana Mh Polepole, ni dhahiri kuwa, watanzania tumekusamehe madhambi yako yote ikiwamo Ile ya kuturingushia v8 tulliyokununulia kwa pesa zetu.

Baada ya Mh Gwajima,Mpina,Padre Kitima,Lissu, sasa ni zamu yako ndugu Pole Pole, ujasiri huu ni mkubwa,tunakupongeza.

Ishara ya kusamehewa makosa yako, ni hizi kauli za viongozi wa Kila upande akiwamo Nabii Lema kuungana nawe Katika kuchukua msimamo na hatua hii muhimu kwa wakati sahihi.

Sasa kwa kuwa, umesamehewa DHAMBI zako, jisamehe na wewe, usijihukumu na kuzikumbuka.

Tembea Kifua Mbele ndugu mzalendo Pole Pole.

Mungu Mbariki Ndugu Pole Pole.

Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿


Mungu ibariki operation ya NRNE 💪 🔥

Karibuni 🙏
Imagine kuna Polepole wangapi ccm.. Za chini ya zulia zinasema ni zaidi ya 50%
 
Back
Top Bottom