Balozi Ombeni Sefue anafaa kuwa Rais 2020

Balozi Ombeni Sefue anafaa kuwa Rais 2020

Umesahau kuwa Prince alisema rais hawezi kutoka kaskazini? Huyu naye ni was huko....
mkuu ni prince wa bagamoyo mfungwa kamba za viatu? au prince wa united kingdom
 
Yuko vizuri lakini alikuwa amejificha wapi kipindi cha utawala wa Mrisho? mimi binafsi nilikuwa nasikia jina tuu lakini mmiliki wa hilo jina nimeanza kumuona kwenye kipindi cha Magufuli hii inanipelekea kuamini kwamba huu utawala ukiendelea na hii kasi watendaji wengi wa serikali watawajibika na hivyo kuwaona kwamba wanafaa kugombea uraisi huko mbeleni
 
Mleta uzi naona location ni Mtwara/Ntwara hapo....
Vipi INATOKA HAITOKI...???

Ndio kiwango cha uelewa wa watu wa huko. Walifikia sehemu wakaapa kuwa gesi ni yao wakidhani ni kitu kinaweza kubebeka kwenye sinia wakauze stendi kama wanavyouza korosho. Sijui yuko wapi Marehemu big show, mtu mjinga kupindukia rekodi za ulimwengu.

Huyu Sefue huyu si alikuwepo serikali iliyopita? Mi sitashangaa kama baada ya kutangaza jina la Hosea na la kwake siku moja likaja kutangazwa. Rais aliyepo madarakani haangalii salio, wallah ile ishu ya Jairo ingetokea leo hii mbona tungesikia raha
 
Last edited by a moderator:
Kama kichwa kinavyosomeka, bila kupepesa macho wala kutikisa masikio huyu mheshimiwa anafaa kuwa Rais kwani IQ yake ni kubwa sana.

Pia anauwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Uzoefu wake pia na utendaji vinambeba.

Jakaya Kikwete alishauri watu tunaojua wanaweza kutuongoza wakati mwingine ni vema tuwafuate na kuwaomba wagombee, nakuomba Balozi Ombeni Sefue uchukue fomu ya Urais 2020.
Naungamko hoja agombe 2025 hata wa miaka 5 tu.
 
Kama kichwa kinavyosomeka, bila kupepesa macho wala kutikisa masikio huyu mheshimiwa anafaa kuwa Rais kwani IQ yake ni kubwa sana.

Pia anauwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Uzoefu wake pia na utendaji vinambeba.

Jakaya Kikwete alishauri watu tunaojua wanaweza kutuongoza wakati mwingine ni vema tuwafuate na kuwaomba wagombee, nakuomba Balozi Ombeni Sefue uchukue fomu ya Urais 2020.
Bado msimamo wako ni ule ule?
 
Ndio kiwango cha uelewa wa watu wa huko. Walifikia sehemu wakaapa kuwa gesi ni yao wakidhani ni kitu kinaweza kubebeka kwenye sinia wakauze stendi kama wanavyouza korosho. Sijui yuko wapi Marehemu big show, mtu mjinga kupindukia rekodi za ulimwengu.

Huyu Sefue huyu si alikuwepo serikali iliyopita? Mi sitashangaa kama baada ya kutangaza jina la Hosea na la kwake siku moja likaja kutangazwa. Rais aliyepo madarakani haangalii salio, wallah ile ishu ya Jairo ingetokea leo hii mbona tungesikia raha
limesha tangazwa,mkuu
 
Kama kichwa kinavyosomeka, bila kupepesa macho wala kutikisa masikio huyu mheshimiwa anafaa kuwa Rais kwani IQ yake ni kubwa sana.

Pia anauwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Uzoefu wake pia na utendaji vinambeba.

Jakaya Kikwete alishauri watu tunaojua wanaweza kutuongoza wakati mwingine ni vema tuwafuate na kuwaomba wagombee, nakuomba Balozi Ombeni Sefue uchukue fomu ya Urais 2020.
SAWA MUUNGWANA TUME KUELEWA ILA MUDA BADO,TUOMBE UZIMA MIAKA MINNE SI HABA.
 
Hivi Lowassa yupo kweli, naona minyumbu mmekata tamaa kabisa juu yake! Hakuna anayemzungumzia
 
Nachukua fursa hii kumpongeza balozi kwa kutajwa huku. Haya ndo maendeleo tunayoyataka
 
Back
Top Bottom