Balozi Ombeni Sefue anafaa kuwa Rais 2020

Balozi Ombeni Sefue anafaa kuwa Rais 2020

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,845
Reaction score
4,776
Kama kichwa kinavyosomeka, bila kupepesa macho wala kutikisa masikio huyu mheshimiwa anafaa kuwa Rais kwani IQ yake ni kubwa sana.

Pia anauwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Uzoefu wake pia na utendaji vinambeba.

Jakaya Kikwete alishauri watu tunaojua wanaweza kutuongoza wakati mwingine ni vema tuwafuate na kuwaomba wagombee, nakuomba Balozi Ombeni Sefue uchukue fomu ya Urais 2020.
 
Kwa tiketi ya Chama gani? Kwani hujui JPM yupo eligible mpaka 2025
 
Kwa haya yote tunayoyaona sasa, yeye alikuwa wapi?
 
Umesahau kuwa Prince alisema rais hawezi kutoka kaskazini? Huyu naye ni was huko....
 
Mwisho wa CCM Ni miaka mitano hata mwalimu alisema 2020 upinzani utatwaa dola coz kila siku unapanda kwa kasi.
 
Aaah! wapi. wewe utakuja kusema kila mtu agombee urais sasa. Wakurugenzi, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, RPC, wakuu wa shule yaani kila mmoja kwasasa anajifanya ndio anaamka kisa tu Rais ndio desturi yake. Wanaoiga hawafai kutuongoza, kuna watu ni watendani tangu wakiwa tumboni kwa mama zao, achana na hao wanaokoka ukubwana alafu unataka kuwafanya wanapiga kazi. We jamaa ni wa wapi wewe?!!, Magufuri alionekana tangu kitambo hata akiwa bado hajafikiria kupata heshima kama hiyo aliyoipata, yeye ni desturi yake kufanya vile anavyofanya sasa. Hawa wengine ni moto wa mabua kama alivyosema yule -----!!
 
Kwa tiketi ya Chama gani? Kwani hujui JPM yupo eligible mpaka 2025

Swali zuri sana hili! Labda act au chadema! Magufuli mpaka 2025, baada ya hapo Ombeni atakuwa babu! Pia alikuwa kimya sana enzi za mkwere!
 
Kwahiyo na yeye ana miliki kadi ya kijani?

Mgombea huru! Ila tuweke unafiki pembeni, asilimia 90 ya waliozaliwa kabla ya uhuru ma miaka angalau 5 baada ya uhuru ni wanachama wa sisiemu, eidha wanachama wafu au hai, ila wana kadi zao! Hii haina ubishi.
 
Kwa mujibu wa Sijuti sifa za kufaa kuwa rais ni

1. IQ kubwa
2. Uwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya kiingereza
3. Uzoefu na utendaji


Naona unataka Tujute
 
Kama kichwa kinavyosomeka, bila kupepesa macho wala kutikisa masikio huyu mheshimiwa anafaa kuwa Rais kwani IQ yake ni kubwa sana.

Pia anauwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Uzoefu wake pia na utendaji vinambeba.

Jakaya Kikwete alishauri watu tunaojua wanaweza kutuongoza wakati mwingine ni vema tuwafuate na kuwaomba wagombee, nakuomba Balozi Ombeni Sefue uchukue fomu ya Urais 2020.

Atakuw mjomba wako huyo,alikuw wap enz ya jk kutuonesha hyo IQ yake!😛
 
Kama kichwa kinavyosomeka, bila kupepesa macho wala kutikisa masikio huyu mheshimiwa anafaa kuwa Rais kwani IQ yake ni kubwa sana.

Pia anauwezo mkubwa wa kuzungumza lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Uzoefu wake pia na utendaji vinambeba.

Jakaya Kikwete alishauri watu tunaojua wanaweza kutuongoza wakati mwingine ni vema tuwafuate na kuwaomba wagombee, nakuomba Balozi Ombeni Sefue uchukue fomu ya Urais 2020.

Huo mtizamo wako ni muhemuko wa mpito tu, unapita
kama upepo .
Pia kama kiingereza ndicho kigezo cha mtu kuwa Rais
wa nchi , basi watanzania aliyeturoga aliisha kufa siku
nyingi na kaburi lake lilisombwa na maji ya mafuriko ya
mwaka 1998.
 
Back
Top Bottom