Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,496
- 17,372
Nchi inachezewa...kiasi hiki????UWT na Jeshi wanalewa bia za bure. Hata hawajuii wamewekwa pale kulinda maslahi taifa si ya alie madarakani.....wapi uzalendo wa vyombo hivii????nasikia uchungu sana sana maana nimeshaamini nchi haina mwenyewe!!!