Waziri Makamba, Uteuzi wako wa Mama Maajar kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO una mgongano wa maslahi

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,495
51,089
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.

Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?

Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
 
Kwa nini wewe usijiulize "je yeye Waziri hajui hilo?".
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
 
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
Hili hata haliihitaji elimu ya chekechea kufahamu Mkuu....iko jambo.
 
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
Spot on....

Kitendo cha kumuweka January kwenye hii wizara tayari harufu ya uchafu ilianza kuhisiwa,mengineyo ni muendelezo na tutarajie zaidi.
 
Mjumbe wa bodi hana influence yoyote hata kama anauza majenereta, yaani nchi hii na wataalam wooote waliopo wakamsikilize maajar awaingize chaka kisa ana majenereta?

Muacheni mama wa watu ameteuliwa kwa weledi wake na pengine misimamo yake nadhani wawaache wafanye kazi maana ndio kwanza hata wiki hawana na umeme unaendelea kukatika vile vile kama feni
 
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
Escrow mpya hiyoo
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS
Na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.
Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?
Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
Wewe hujui kinachoendelea!
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS
Na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.
Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?
Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
Mkuu nakuheshimu Sana kumbe. Nawe ni wa kulia lia?, watu tunaojitambua tumeacha hizi habari za kulia lia kila siku.

Tumeanzisha harakati ya kudai katiba mpya
 
Fisi kakabidhiwa bucha unategemea nini? Na aliyemteua huwenda ana maslahi yake binafsi nani ajuaye?
 
Ninaanza kuona kitu fulani hovyo kwa kuondolewa Kaleman na kuwekwa Makamba pale. Hii bodi aliyoiunda kisha ndani yake akaweka watu wenye maslahi na watu wanaotushitaki kuna kitu hakijakaa sawa somewhere.

Inawezekana Kalemani alikuwa kikwazo dhidi ya mafisi wanaotaka kula nyama ya Shirika
Kumbe na wewe ni chato gang?
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS
Na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.
Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?
Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri Makamba tunataka uchukue hatua, hili chaguo la Balozi Maajar hatulielewi!
Nilidhani unasema Huduma zimeanza kuzorota, nilidhani unasema hela stigglers haitoki tena, nilidhani Kuna mikataba ya Tanesco wameingia kuzalisha umeme kwa mafuta!

Kumbe unapiga ramli tu!

Yaaani bodi ivinjwe kwa ramli zako?
 
Huyu mama Maajar ni miongoni mwa Waanzilishi/Wamiliki wa kampuni ya REX ATTORNEYS
Na hiyo kampuni ya uwakili ndiyo inayoiwakilisha Symbion na Dowans katika kesi zao dhidi ya TANESCO.
Halafu unatoka hapo unamteua huyo mtu kuwa mjumbe wa bodi ya TANESCO, huoni kuna mgongano wa Maslahi hapo?
Huoni huyo mama atakuwa anapata sensitive information ndani ya TANESCO ili kuwapa advantage wateja wake wanaomlipa mamilioni katika kesi dhidi ya hilo shirika?

Waziri Makamba, tengua haraka sana bodi uliyoiunda yenye mgongano wa masilahi.

1. Hatutaki kuona tena huduma za umeme zikizorota ili watu wauze majenereta yao

2. Hatutaki kuona hujuma kwenye mabwawa yetu ya umeme ili umeme uwe shida halafu nchi iingie kwenye mikafaba ya kifisadi kama IPTL

3. Hatutaki kuona time table ya kukamilika kwa Stieglers inachelewa ili wapiga dili wapate kisingizio cha kuingia mikataba ya kifisadi ya umeme

Waziri M
Kwani hiyo bodi ambayo haikuwa na maslahi ilifanya nini cha ajabu? Nakumbuka wakati flan bodi iliiongozwa na mkuu mstaafu wa majeshi lkn ndio wakati tulikuwa na magenereta kila pahala. Mzalendo na asie na mgongano wa maslahi Ni nani Tz? Tuwape muda
akamba tu
 
Back
Top Bottom