Balozi kuapishwa mpaka taratibu zikamilike

Balozi kuapishwa mpaka taratibu zikamilike

IFRS

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
2,920
Reaction score
5,277
Naomba niwaulize wanajf ,wakati Dr.slaa anatangazwa kuteuliwa kuwa balozi ,taarifa ya ikulu ilisema ataapishwa mpaka taratibu zikamilike,
Naomba kujua ni taratibu zipi
 
Naomba niwaulize wanajf ,wakati Dr.slaa anatangazwa kuteuliwa kuwa balozi ,taarifa ya ikulu ilisema ataapishwa mpaka taratibu zikamilike,
Naomba kujua ni taratibu zipi
Kutoka ukimbizini mpaka kuwa mtumishi wa umma ni lazima kwanza aikane kwa kiapo ile status aliyokuwa nayo hapo mwanzo
 
yani serikali imemuajiri mtu ambaye si mtanzania-kagtiba si inasema ukiwa na uraia wa nchi nyingine basi ni lazima uukane u tanzania
 
Nahisi taratibu hasa ni hizi...
1/Kurudisha nyuma umri wa Dr.Slaa ili uendane na cheo alichopewa.

2/Kumshawishi Mke wa Dr.Slaa amwachie huru Dr.Slaa.

3/Kuvunja mkataba wa Dr.Slaa na mmiliki wa Duka lililomwajiri kule Canada.
 
Nahisi taratibu hasa ni hizi...
1/Kurudisha nyuma umri wa Dr.Slaa ili uendane na cheo alichopewa.

2/Kumshawishi Mke wa Dr.Slaa amwachie huru Dr.Slaa.

3/Kuvunja mkataba wa Dr.Slaa na mmiliki wa Duka lililomwajiri kule Canada.
Mkuu kuna jambo tulitaka kujifunza ,sipo kiutani
 
Nahisi taratibu hasa ni hizi...
1/Kurudisha nyuma umri wa Dr.Slaa ili uendane na cheo alichopewa.

2/Kumshawishi Mke wa Dr.Slaa amwachie huru Dr.Slaa.

3/Kuvunja mkataba wa Dr.Slaa na mmiliki wa Duka lililomwajiri kule Canada.
Fungu la kukosa
 
Mpaka achukue "eniesiesiefu" yake ya uuzaji duka kule Canada ndiyo atakuja kulambishwa kiapo.
 
Back
Top Bottom