Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Siasa za Muheza zimegawanyika sana. Wazee wazawa na Waarabu ambao ndiyo wafanya biashara wengi ni CCM na ACT.
Wapemba hawa ni wafanya biashara wa bidhaa za umeme TV nk, pamoja na maduka ya kawaida, hawa ni ACT damu.
Wafanyabisshara wa vyakula ambao wengi ni wahamiaji, wapo Wachaga hawa wengi biashara yao ni baa na hoteli, Wapare hawa biashara zote, hata nguo, na vyombo vya ndani. Wasambaa wa Lushoto hawa ni wauzaji wa mchele, viazi, maharage nyanya Hawa nwote ni Chadema damu.
Kuna Wasambaa wa Amani na Magoroto hawa ni walimaji wa viungo kama iliki, mdalasini, pilipili manga, hawa ni Chadema damu.
CCM ina nguvu kule ambako umasikini umetamalaki.
Wapemba hawa ni wafanya biashara wa bidhaa za umeme TV nk, pamoja na maduka ya kawaida, hawa ni ACT damu.
Wafanyabisshara wa vyakula ambao wengi ni wahamiaji, wapo Wachaga hawa wengi biashara yao ni baa na hoteli, Wapare hawa biashara zote, hata nguo, na vyombo vya ndani. Wasambaa wa Lushoto hawa ni wauzaji wa mchele, viazi, maharage nyanya Hawa nwote ni Chadema damu.
Kuna Wasambaa wa Amani na Magoroto hawa ni walimaji wa viungo kama iliki, mdalasini, pilipili manga, hawa ni Chadema damu.
CCM ina nguvu kule ambako umasikini umetamalaki.