Uchaguzi 2020 Balozi Adadi Rajabu tafuta chama (CHADEMA au ACT Wazalendo) uendelee na ubunge wako

Sijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Vyama vya upinzani makini vinahofia uzoefu mchafu vilivyowahi kuupata - "Kurudi nyumbani".
 
Kwani yeye ndiye ameumbwa maalum kuwa mbunge wa Mheza. CCM siyo kama hiyo chadema yenu ambayo M/kiti wa chama taifa ni wa kudumu
Apana ndugu, sisi tuliozaliwa na kukulia Muheza tunapajua sana, Adadi anakubalika sana, chama chetu hapo kimekosea, Adadi ana adhibishwa na uongozi wa bungeni na chamani, amejengewa unafiki mwingi, kwa sababu hakutimiza matakwa yao mengi yaliyokuwa hayaendani na taaluma, nyadhifa, na majukumu aliyokabidhiwa, alishindwa kutimiza yasiyowezekana kimaadili, hizo ndizo sababu ya kuadhibiwa.

Mtu anapendwa jomboni kwake, anatimiza wajibu wa kazi zake, mtu hana skendo yoyote, ntu ana tabia nzuri na anaheshimu wakubwa na wadogo, jee sisi twatakaje, mbona twajikwamisha.

ADADI ANAYO HAKI YA KUJISAFISHA NA HII KASHFA ALIYOBAMBIKIZWA NA CHAMA CHAKE, AKIENDA CHAMA KINGINE KUJOSAFISHA NI HAKI YAKE, NA MUHEZA NZIMA INA MUUNGA MKONO.
 
Sijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
Kwenda kuendelea kula kodi zetu??
 
Tanga kule upinzani kushinda ni ngumu. Wadigo wale hawana upeo wa kupiga kura nje ya CCM. Adadi kama atafanya hivyo basi itabidi afanye kazi kubwa sana.
2010, wapinzani walishinda tanga mjini na 2015 nafikiri walikuwa na majimbo mawili.

2015 Korogwe na Muheza na Handeni yalikuwa kwenye wakati mgumu sana kurchukuliwa na upinzani.
 
Ni wajiby wetu kuheshimu maamuzi ya chama. Baada ya hapo kama mtu anaona kuna fursa kuwa mbunge kupitia njia nyingine awe na uhuru wa kufanya hivyo (utaona CCM inawatisha wasihame na wanatakiwa wawapigie debe waliochaguliwa (wanatishiwa kukosa teuzi bila kusahau kutembelewa na TRA). Wengi wetu tunaliona hili kama swala la CCM au Chama kingine hatuangalii uwakilishi wa wanan nchi kuwa wao wanataka nini. Kama kweli wanadhani Adadi atawafaa zaidi ya Mwana FA kwa nini isiwe hivyo. Hapa ndio swala la mgombea huru linapoingia bila kumlazimisha mtu aamue CCM au Chama cha Upinzani. Labda wale waliokutana na hili toka kila chama wataona umuhimu wa mgombea binafsi.
 
Yamesemwa mengi hapa kumhusu Adadi, binafsi nimefurahi kukatwa ili angalau watu waelewane.

Muheza ina tatizo kubwa la maji kwa muda mrefu sana na bado watu wanahangaika - hakufanya chochote.

Muheza ina tatizo la huduma za Afya kwa hospitali ya Wilaya Adadi amechangia kwa kiasi kikubwa hospitali ya Wilaya kujengwa nje kabisa ya mji kwa sababu tu ni jirani na kijijini kwao. Teule ipo kama haipo.

Kuna tatizo la barabara nyingi za vijijini kutopitika.

Apumzike tu.
Wanaomshauri kuhama hawamtakii mema.
-Costa zake zinafanya biashara kibabe na haziguswi. Hakuna gari zinazoenda nje ya jiji la Tanga zinazoanzia Tanga mjini isipokuwa R.Meta.
Akihama tu wataanza na hili, na pia ana duka la dawa.
Watamsumbua.
 
Apana ndugu, sisi tuliozaliwa na kukulia Muheza tunapajua sana, Adadi anakubalika sana, chama chetu hapo kimekosea, Adadi ana adhibishwa na uongozi wa bungeni na chamani, amejengewa unafiki mwingi, kwa sababu hakutimiza matakwa yao mengi yaliyokuwa hayaendani na taaluma, nyadhifa, na majukumu aliyokabidhiwa, alishindwa kutimiza yasiyowezekana kimaadili, hizo ndizo sababu ya kuadhibiwa.

Mtu anapendwa jomboni kwake, anatimiza wajibu wa kazi zake, mtu hana skendo yoyote, ntu ana tabia nzuri na anaheshimu wakubwa na wadogo, jee sisi twatakaje, mbona twajikwamisha.

ADADI ANAYO HAKI YA KUJISAFISHA NA HII KASHFA ALIYOBAMBIKIZWA NA CHAMA CHAKE, AKIENDA CHAMA KINGINE KUJOSAFISHA NI HAKI YAKE, NA MUHEZA NZIMA INA MUUNGA MKONO.
Bado najiuliza kuna nini kati ya Balozi na JPM, kwangu mimi namuona ni professional asiye kuwa na wasiwasi. Hivi kweli umpite mtu anaekufuata kwa takribani nusu ya kura halafu uenguliwe? Nini tusichofahamu kuhusu balozi?
Bado ana nafasi ya kuhama chama lakini huyu ni high profile personality je akifanya hivyo CCM itamuacha huru au ndio kesi na kodi za kubambikwa zitamhusu?
Issue kama hii inaonyesha umuhimu wa kuwa na sheria nzuri za uchaguzi kuanzia vyamani hadi serikalini na katiba safi. Hapa unaona jinsi mbunge pendwa anavyo nyanyaswa na chama chake na kuwa na wakati mgumu. Itabidi aamue kwani aliye vaa hicho kiatu ni yeye.
 
Kutoruhusu wagombea biafsi kunanyima watu haki zao za kikatiba.

Kuna wengine wanataka kugombea ubunge,vyama vyao vimewakata, na wananchi wanawataka.

Wakati umefika turuhusu wagombea binafsi.
Yaani my brother. Mimi ndo huwa vita yangu tupate ugombea huru.Yaani hata hizi Rushwa sijui kulipa wajumbe zingepungua. Monopoly ya Rais kuteua anaowataka hata kama kura za maoni wameshindwa ingekuwa useless. Ukikatwa unagombea kama mgombea huru.
Hata sisi tusiokuwa na vyama tungekuwa huru kugombea.
 
Yaani my brother. Mimi ndo huwa vita yangu tupate ugombea huru.Yaani hata hizi Rushwa sijui kulipa wajumbe zingepungua. Monopoly ya Rais kuteua anaowataka hata kama kura za maoni wameshindwa ingekuwa useless. Ukikatwa unagombea kama mgombea huru.
Hata sisi tusiokuwa na vyama tungekuwa huru kugombea.
Ndiyo hivyo dada.

Haya mambo yalishasemwa na Justice Nyalali. Yalishasemwa na Mwalimu Nyerere.

Nyerere alitoa mpaka mfano wa enzi za TANU ilivyomkata mtu anaitwa Herman Sarwat. Alikuwa Chifu Mbulu huko. Mwanachama wa TANU. TANU ikamkata.

Akagombea dhidi ya TANU. Akashinda.

Yani leo tumerudi nyuma kidemokrasia zaidi ya enzi za TANU!
 
Yaani my brother. Mimi ndo huwa vita yangu tupate ugombea huru.Yaani hata hizi Rushwa sijui kulipa wajumbe zingepungua. Monopoly ya Rais kuteua anaowataka hata kama kura za maoni wameshindwa ingekuwa useless. Ukikatwa unagombea kama mgombea huru.
Hata sisi tusiokuwa na vyama tungekuwa huru kugombea.
Mchakato wa tume huru ya uchaguzi, mgombea binafsi wanaoupinga ni wanaccm wenyewe lakini waathirika wakubwa huwa ni wao wenyewe hasa linapokuja suala la kutafuta fursa za uongozi.

Tungekuwa na tume huru ya uchaguzi hata vyama vingine vingeweza kupata candidates wazuri tu ambao wanaprofile kubwa huko kwenye public sector lakini kwa mfumo wetu hawawezi kurisk maisha yao na uhai wao kwenda vyama vya upinzani.

Kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba inayoruhusu mgombea binafsi wananchi wangekuwa na uhuru zaidi wa kuchagua na kuchaguliwa.

Lakini juhudi zote hizo huwa wanazififisha ccm wenyewe wanapokuwa huko chamani kwao kwa kutumia state machineries.

Kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi leo hii yawezekana Lowasa angekuwa rais wa nchi kupitia upinzani lakini fursa kama hiyo hawaitumii wakiwa madarakani huko ccm, wanaona kuwa kudai haki siyo jukumu lao ni la wapinzani tu.

Imagine alivyoonewa Adadi Rajabu, Peter Serukamba, Furaha Dominck, Kebwe Steven Kebwe, na wengine walioongoza kura za maoni halafu wakakatwa na mtu ambaye anaendesha mambo kwa kutegemea ameamkaje.


Wanaccm wanaamini wao ni first class citizens hapa nchini na kwamba kupigania haki ni jukumu la second class citizens yakishawakuta yakuwakuta ndiyo akili zinawarudia.

Leo hii wanataka Magufuli aongezewe muda wamesahau kuwa na wao wanaweza uhitaji urais huko baadae watafanyaje mpaka afe ndiyo wapate hiyo fursa tena ???
 
Mnaosema Adad aende upande wa pili mtakua mmefahamu Adad juzi. Huyu sio raia tu. Huyu ni former DCI.:D:D:D.
 
Mchakato wa tume huru ya uchaguzi, mgombea binafsi wanaoupinga ni wanaccm wenyewe lakini waathirika wakubwa huwa ni wao wenyewe hasa linapokuja suala la kutafuta fursa za uongozi.

Tungekuwa na tume huru ya uchaguzi hata vyama vingine vingeweza kupata candidates wazuri tu ambao wanaprofile kubwa huko kwenye public sector lakini kwa mfumo wetu hawawezi kurisk maisha yao na uhai wao kwenda vyama vya upinzani.

Kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi na katiba inayoruhusu mgombea binafsi wananchi wangekuwa na uhuru zaidi wa kuchagua na kuchaguliwa.

Lakini juhudi zote hizo huwa wanazififisha ccm wenyewe wanapokuwa huko chamani kwao kwa kutumia state machineries.

Kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi leo hii yawezekana Lowasa angekuwa rais wa nchi kupitia upinzani lakini fursa kama hiyo hawaitumii wakiwa madarakani huko ccm, wanaona kuwa kudai haki siyo jukumu lao ni la wapinzani tu.

Imagine alivyoonewa Adadi Rajabu, Peter Serukamba, Furaha Dominck, Kebwe Steven Kebwe, na wengine walioongoza kura za maoni halafu wakakatwa na mtu ambaye anaendesha mambo kwa kutegemea ameamkaje.


Wanaccm wanaamini wao ni first class citizens hapa nchini na kwamba kupigania haki ni jukumu la second class citizens yakishawakuta yakuwakuta ndiyo akili zinawarudia.

Leo hii wanataka Magufuli aongezewe muda wamesahau kuwa na wao wanaweza uhitaji urais huko baadae watafanyaje mpaka afe ndiyo wapate hiyo fursa tena ???
Na hao kina Adadi Rajab wamo katika mfumo huu uliokamdamiza haki. Wametumiwa sana na serikali na CCM kukandamiza haki. Wakifikiri watakuwa juu tu kila siku.

Na sasa imekula kwao.

The chicken coming home to roost.

Mkuki mtamu kwa nguruwe. Kwa binadamu mchungu.
 
Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT Wazalendo ujinyakulie ubunge kiulaini!
Hawa hawaachwagi; nafasi ziko nyingi hata kuwa kwenye Bodi za Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma nako ni ulaji tuu.

Ole wetu mimi na wewe tusio na jina
 
Mimi sio ccm wala pro adadi. Ila naamini kilichomtoa adadi ni chuki Na mkuu. In fact wateule wa jk wote walimkera sana mkuu.

Bado sioni uzoefu was mwana fa kumzidi adadi. Mwana fa alikuwa anakwenda muheza kuzika tu.. Hajui hata tabu za mahali pale zaidi ya kusimuliwa!
 
Chadema ishamuweka mtu hapo muheza na kishachukua form. Huoni kama unanichanganya??
Sijui ACT Muheza ikoje, ila CDM I guess could be the right choice. Lakini vyovyote, anabebwa na Jina lake na wala siyo chama! Hivyo popote atakapo kwenda atapita kwenye lami to Mjengoni!
 
Back
Top Bottom