Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,486
- 51,063
Wale waliokuwa wanamnanga Zitto jana kwa "kummiss" Chenge bungeni leo wanatamani Adadi aende Chadema! - Unafiki huwa hauishi
Mbona ameshakujibu? Ina maana umeshindwa kuelewa anachomaanisha? Kwamba pale Muheza pamoja na CDM kuweka mgombea lakini si mgombea wala Chadema wenye nguvu au ushawishi na hivyo Chadema wanahitaji mtu mwenye vyote, nguvu na ushawishi.Hujajibu swali langu bwashee!
yupo!Hujajibu swali langu bwashee!
Uko sahihi kabisa! Ple Adad anapita hata bila chama (ingelikuwa inawezekana)Wananchi wa muheza ,wahachagui chama Bali wanachafua mtu,mtu wanayemtaka ni Balozi Adadi. Apitie chama chochote
Nilimjibu na kutoa maelezo, sasa maelezo yamemmaliza nguvu!🤣🤣🤣🤣🤣Mbona ameshakujibu? Ina maana umeshindwa kuelewa anachomaanisha kwamba pale Muheza pamoja na Chadema kuweka mgombea lakini si mgombea wala Chadema wenye nguvu au ushawishi na hivyo Chadema wanahitaji mtu mwenye vyote, nguvu na ushawishi.
Sana, tangu ile ripoti ya kupigwa Lisu risasi!naskia zilikuwa haziivi na mwenyechair?
Kumbe..... halafu akiunga mkono juhudi hapo baadae wamtukane!Mbona ameshakujibu? Ina maana umeshindwa kuelewa anachomaanisha kwamba pale Muheza pamoja na Chadema kuweka mgombea lakini si mgombea wala Chadema wenye nguvu au ushawishi na hivyo Chadema wanahitaji mtu mwenye vyote, nguvu na ushawishi.
Huyu baadae ataunga mkono juhudiMuheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
du!Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
Sasa kwanini unamdharau?!yupo!
mhhhh ili iweje!!!Kuna njama CCM ilipanga ya kuwaondoa mapolisi bungeni.mfano Langu lugola naye aliongoza amekatwa.Adadi balozi naye aliongoza amekatwa.
Simdharau, ushawishi wake hauingii kwa Adadi kama kutaka kiti kiende upinzani asubuhi na mapema! Muheza na Adad ni kama wewe na Jiwe. kama usivyoambiwa chochote kuhusu Jiwe na Muheza hivyo hivyo kwa AdadSasa kwanini unamdharau?!
Yuko vizuri sana! Jiwe alisema itategemea ameamkaje! na kweli kamwamkia vibayaMimi ni mzaliwa wa muheza Adadi ni mtu makini sana....
Hapo napo pana neno! You are absolutely right!Duh!
halafu midway before 2025 atarudi huku kuja kuunga mkono juhudi!
#whatlessonshavebeenlearnt?
Wanadai aliwahi kuhoji Lissu kupigwa risasi.Kuna njama CCM ilipanga ya kuwaondoa mapolisi bungeni.mfano Langu lugola naye aliongoza amekatwa.Adadi balozi naye aliongoza amekatwa.
Msimchuuze mwenzenu Tanga upinzani bado. Pia Adadi ameshika nyadhifa nyingi nyeti pamoja na ubalozi kwa hiyo kwa vyovyote atapatiwa nafasinyingine mda wowote.Muheza wako na wewe, ushawishi wako Muheza hauna mashaka. Kila mmoja hilo analijua! Tafuta chama kati ya CHADEMA au ACT ujinyakulie ubunge kiulaini!
chama ni wana chama, akija sawa by Mbowe!Wale waliokuwa wanamnanga Zitto jana kwa "kummiss" Chenge bungeni leo wanatamani Adadi aende Chadema! - Unafiki huwa hauishi