Watu tunapo isoma namba, naona visingizio vinaongezeka tu.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
By the way, niliwahi kuinywa sikumoja. Asubuhi niliamka nikiwa sina mning'inio, lakini mdomo ulikua unaninuka utadhani nilikula haja kubwa