JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,449
- 2,496
Kwa mujibu wa Andiko la Boni Yai (EX-MAYOR Ameandika hivo kupitia andiko hili
anaandika Boni Yai
BALILE NI MWANDISHI AU DOLA..?
MASWALI KUMI (12) KWA BALILE.
1.Balile anawezaje kugeuka kuwa mchomaji wa waandishi wenzake wa Habari..?
2.Balile aliyefundishwa kujifundisha na kukosoa jamii anachukiaje akiona mwandishi anakosa taaluma ya Uandishi wa Habari?
3.Balile anawezaje kumtuhumu mwezie "ushoga" hadharani kwa sababu ametoa maoni yasiyo mpendeza kwa kumuita ni mtu wa "rangi za upinde"?
4.Balile anawezaje kuwaza na kufikiri waandishi wenzie wanaoikosoa Serikali kwa ni mawakala wa mabeberu nje ya nchi?
4.Balile anawezaje kusema "Tutamchunguza" mwandishi mwenzie kama yeye siyo sehemu ya vyombo vya uchunguzi?
5.Balile anawezaje kukasirishwa na mchoro wa Masoud Kipanya unaolenga Kuamsha Media zisitumike na Serikali kama yeye siyo sehemu ya Serikali?
6.Balile anajisikiaje baada ya kutoa Vitisho hadharani kwa Waandishi wenzake wa Habari na kesho yake waandishi wenzake kusimamishwa kazi na kufukuzwa kazi?
7.Balile kama ameweza kutoa maagizo kwa vyombo kusimamisha kazi waandishi wa habari,hawezi pia kutueleza lolote kuhusu waandishi wa habari waliopotea kama akina Azory Gwanda?
8.Balile kazi aliyojipa ya kuchoma wenzie Serikalini ni kwamba analipa fadhila kwa Serikali baada ya kuwa katika misafara ya Rais mara kwa mara huku waandishi wengine wakibaniwa wasisafiri??
9.Balile anawezaje kuwa mmiliki wa chombo cha habari,alafu ategemee kuongoza wahariri wakati ni nafasi mbili zinazopaswa kutenganishwa?
Kimsingi wamiliki wa vyombo vya habari wana umoja wao ambao ni MOAT wanapaswa kuzungumzia masuala ya umiliki, na wahariri kupitia jukwaa lao la TEF wanapaswa kujadili kwenye umoja wao masuala ya uhuru wa uhariri na utendaji kazi wao wa kila siku.
Kwanini wewe Balile umeshikilia kijiti cha umiliki wa chombo cha habari na kuongoza jukwaa la wahariri?
10 Balile wewe ndiye umeshikilia suala la madeni ya vyombo vya habari ambayo yalifika hadi kwa Mheshimiwa Rais.
Na maelekezo yalitolewa ni kwamba vyombo vya habari kulipwa chini ya usimamizi wako ila hadi sasa media hazijalipwa Balile una mpango gani?
Ni kwanini sasa hutetei media zikalipwa fedha zao halali?
Clip anayotuhumiwa Balile Kuongea hayo ni hii
View: https://www.instagram.com/exmayor_bonifacejacob/reel/DMfN7HkCEhg/
anaandika Boni Yai
BALILE NI MWANDISHI AU DOLA..?
MASWALI KUMI (12) KWA BALILE.
1.Balile anawezaje kugeuka kuwa mchomaji wa waandishi wenzake wa Habari..?
2.Balile aliyefundishwa kujifundisha na kukosoa jamii anachukiaje akiona mwandishi anakosa taaluma ya Uandishi wa Habari?
3.Balile anawezaje kumtuhumu mwezie "ushoga" hadharani kwa sababu ametoa maoni yasiyo mpendeza kwa kumuita ni mtu wa "rangi za upinde"?
4.Balile anawezaje kuwaza na kufikiri waandishi wenzie wanaoikosoa Serikali kwa ni mawakala wa mabeberu nje ya nchi?
4.Balile anawezaje kusema "Tutamchunguza" mwandishi mwenzie kama yeye siyo sehemu ya vyombo vya uchunguzi?
5.Balile anawezaje kukasirishwa na mchoro wa Masoud Kipanya unaolenga Kuamsha Media zisitumike na Serikali kama yeye siyo sehemu ya Serikali?
6.Balile anajisikiaje baada ya kutoa Vitisho hadharani kwa Waandishi wenzake wa Habari na kesho yake waandishi wenzake kusimamishwa kazi na kufukuzwa kazi?
7.Balile kama ameweza kutoa maagizo kwa vyombo kusimamisha kazi waandishi wa habari,hawezi pia kutueleza lolote kuhusu waandishi wa habari waliopotea kama akina Azory Gwanda?
8.Balile kazi aliyojipa ya kuchoma wenzie Serikalini ni kwamba analipa fadhila kwa Serikali baada ya kuwa katika misafara ya Rais mara kwa mara huku waandishi wengine wakibaniwa wasisafiri??
9.Balile anawezaje kuwa mmiliki wa chombo cha habari,alafu ategemee kuongoza wahariri wakati ni nafasi mbili zinazopaswa kutenganishwa?
Kimsingi wamiliki wa vyombo vya habari wana umoja wao ambao ni MOAT wanapaswa kuzungumzia masuala ya umiliki, na wahariri kupitia jukwaa lao la TEF wanapaswa kujadili kwenye umoja wao masuala ya uhuru wa uhariri na utendaji kazi wao wa kila siku.
Kwanini wewe Balile umeshikilia kijiti cha umiliki wa chombo cha habari na kuongoza jukwaa la wahariri?
10 Balile wewe ndiye umeshikilia suala la madeni ya vyombo vya habari ambayo yalifika hadi kwa Mheshimiwa Rais.
Na maelekezo yalitolewa ni kwamba vyombo vya habari kulipwa chini ya usimamizi wako ila hadi sasa media hazijalipwa Balile una mpango gani?
Ni kwanini sasa hutetei media zikalipwa fedha zao halali?
Clip anayotuhumiwa Balile Kuongea hayo ni hii
View: https://www.instagram.com/exmayor_bonifacejacob/reel/DMfN7HkCEhg/