Wewe tupe sababu zako za kutaka serikali 3funza kichwani
Wewe tupe sababu zako za kutaka serikali 3funza kichwani
Unajidanganya ndugu. Watz wengi hawana shida na serikali 2 including zanzibar. halafu hilo neno uturehemu litoe. hilo hutumika kwa marehemu.siyo mtu aliye hai.Wee waache wafanye hashuo lao tu! Mwisho wa siku huo upuuzi wanaouandika kwenye katiba lazima ukubaliwe na majority ya Tanganyika na majority ya Zanzibar!
Naamini katiba inaweza ikapita Tanganyika, but nauhakika katiba itafeli kwa kukataliwa Z'bar!
Na hapo kitakachofata ni Mungu aturehemu! CCM wanacheza ngoma wasioijua!
Majority gani wamepinga watu 49 ndiyo majority we waajabu kweli.
Mkisharudisha Tanganyika mtanufaikaje? ili iweje. Hongera bakwata.
Unajidanganya ndugu. Watz wengi hawana shida na serikali 2 including zanzibar. halafu hilo neno uturehemu litoe. hilo hutumika kwa marehemu.siyo mtu aliye hai.
Akili yako ni mbovu, huna Takwimu kichwa cheupe, ulimsikia Kardinari Pengo alitoa msimamo gani?Naona tunakoelekea itakuwa ni Kura kati ya Wakristo (3) na Waislam (2); maana waislamu wanaona Zanzibar ikijitenga na kuwa serikali kamili mara moja itakuwa nchi ya Kiislam huku Tanganyika ikichagizwa kuwa nchi ya kikiristo. Kazenji kadogo na kanategemea Bara. Haha ha kazi ipo. Ngoja niishie hapa wasije wakakaba wenye Zanzbar yao.
kwa hoja hiyo wazazibar wako tayari muungano ufe,wao sio mbumbumbu kama watanganyika kupoteza jina laoKama ni hivyo unaonaje tukiwa na NCHI MOJA NA SERIKALI MOJA ili tuwe na manufaa ya kweli ya kiuchumi na kijamii?. Pia tutakua na umoja na mshikamano wa dhati na pia tutaokoka gharama za kuendesha serikali tatu. Unaonaje mkuu?
Wanaotaka serikali tatu ni wale waliopanga kugawana vyeo wala siyo kuimarisha nchi.
Hivi huu ujinga wenu mtaacha lini?maana sasa hivi kazi ni kutukana na kukashifu kazi ya Tume ya Warioba,jana nilimsikia kinana nikasikitika saana nikona kweli CCM nijanga.Hivi kama mlikuwa hamtaki maoni ya wananchi kwanini mliunda tume?maana imetumia kodi zetu. Leo hii inaleta maoni ya wananchi nyinyi kazi yenu ni kuikebehi na kuizalilisha mbele ya jamii hii siyo sawa kabisaMajority gani wamepinga watu 49 ndiyo majority we waajabu kweli.
Unajidanganya ndugu. Watz wengi hawana shida na serikali 2 including zanzibar. halafu hilo neno uturehemu litoe. hilo hutumika kwa marehemu.siyo mtu aliye hai.