Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Serikali mbili ni mfumo kristo, ila sishangazwi na Bakwata kuwa na msimamo huu kwa sababu ipo kwa hisani ya ccm.
Tanganyika +Zanzibar = Tanzania naTanzania=Tanganyika+Zanzibar
Mimi mtanganyika,ninaidai tanganyika yetu huru.
kama tanganyika hairudi na zanziber iondokeMkisharudisha Tanganyika mtanufaikaje? ili iweje. Hongera bakwata.
wazo langu hiliKama ni hivyo unaonaje tukiwa na NCHI MOJA NA SERIKALI MOJA ili tuwe na manufaa ya kweli ya kiuchumi na kijamii?. Pia tutakua na umoja na mshikamano wa dhati na pia tutaokoka gharama za kuendesha serikali tatu. Unaonaje mkuu?
Wanaotaka serikali tatu ni wale waliopanga kugawana vyeo wala siyo kuimarisha nchi.
Hoja zenu za kutaka Tanganyika ni dhaifu na zimetawaliwa na chuki na ulevi.
Ni zao la chuki aliyo ipandikiza mtikila. Hakuna manufaa ya kiuchumi wala ya kijamii yatakayo patikana kwa kurudisha serikali tatu. Achaneni na siasa za chuki na jazba
Muundo ambao utaimarisha umoja na mshikamano wa taifa hili ni serikali mbili.
Wewe tupe sababu zako za kutaka serikali 3
Serikali mbili ni mfumo kristo, ila sishangazwi na Bakwata kuwa na msimamo huu kwa sababu ipo kwa hisani ya ccm.
Acha ujuha sababu zimeainishwa katika rasimu ya katiba,hivi kwa nini ccm inatetewa zaidi na wapumbavu?
hujatulia we mtu, akili yako yote ipo katika udini tu basi.Naona tunakoelekea itakuwa ni Kura kati ya Wakristo (3) na Waislam (2); maana waislamu wanaona Zanzibar ikijitenga na kuwa serikali kamili mara moja itakuwa nchi ya Kiislam huku Tanganyika ikichagizwa kuwa nchi ya kikiristo. Kazenji kadogo na kanategemea Bara. Haha ha kazi ipo. Ngoja niishie hapa wasije wakakaba wenye Zanzbar yao.
Kama muundo wa serikali mbili utaimarisha "umoja na mshikamano wa taifa" kwa nini kuna hili timbwili na mpasuko wa kutaka kubadilisha muundo wa nchi toka siku ya kwanza miaka 50 iliyopita, why?Muundo ambao utaimarisha umoja na mshikamano wa taifa hili ni serikali mbili.
Kwa mtizamo huu una safari ndefu kujikomboa kiakiliWanaotaka serikali tatu ni wale waliopanga kugawana vyeo wala siyo kuimarisha nchi.
Ondoa shaka. BAKWATA haitambuliwi hata na waislamu. Wapowapo tu mgongoni mwa ccm.Hivi Tanganyika yetu itarudi kweli?
source:Magaazetini _RFA.