PreGE2025 BAKWATA yahimiza amani nchini na Siasa safi mwaka wa Uchaguzi

PreGE2025 BAKWATA yahimiza amani nchini na Siasa safi mwaka wa Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuru Mruma, amesema baraza hilo linawahimiza Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani iliyopo nchini, kwani bila uwepo wa amani shughuli za kimaendeleo katika jamii haziwezi kufanyika, na hata ibada pia hazitafanyika.

Akizungumza mara baada ya kuswaliwa kwa swala ya Eid al-Adh-ha kitaifa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Alhaj Mruma amesema:

"Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) linatoa wito kwa kila Mtanzania, kwa nafasi yake, kuilinda na kudumisha amani ya nchi yetu, kwani bila amani hakutakuwa na maendeleo yoyote katika jamii, na hata fursa ya kufanya ibada haitakuwepo."

Alhaj Mruma ametoa wito pia kwa wote watakaoshiriki katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanya siasa safi na kutumia vizuri haki hii ya kikatiba kupitia ushiriki wao wa kuchagua viongozi au kuchaguliwa kuwa viongozi.

Amehimiza pia kuwa mamlaka zinazohusika na kusimamia uchaguzi zitende haki wakati wa mchakato mzima wa uchaguzi huu mkuu, ili haki hii ya kikatiba ipatikane kwa kila mwananchi.
 
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuru Mruma, amesema baraza hilo linawahimiza Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani iliyopo nchini, kwani bila uwepo wa amani shughuli za kimaendeleo katika jamii haziwezi kufanyika, na hata ibada pia hazitafanyika.

Akizungumza mara baada ya kuswaliwa kwa swala ya Eid al-Adh-ha kitaifa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Alhaj Mruma amesema:

"Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) linatoa wito kwa kila Mtanzania, kwa nafasi yake, kuilinda na kudumisha amani ya nchi yetu, kwani bila amani hakutakuwa na maendeleo yoyote katika jamii, na hata fursa ya kufanya ibada haitakuwepo."

Alhaj Mruma ametoa wito pia kwa wote watakaoshiriki katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanya siasa safi na kutumia vizuri haki hii ya kikatiba kupitia ushiriki wao wa kuchagua viongozi au kuchaguliwa kuwa viongozi.

Amehimiza pia kuwa mamlaka zinazohusika na kusimamia uchaguzi zitende haki wakati wa mchakato mzima wa uchaguzi huu mkuu, ili haki hii ya kikatiba ipatikane kwa kila mwananchi.
View attachment 3358935
Kama wanashindwa kutangaza Idd tu kwa wakati hakuna jambo wanaweza tuambia wananchi tukawaelewa waache kutumika dunia nzima jana wamesali Idd wao leo walitoa wapi kua ndio siku kuu
 
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuru Mruma, amesema baraza hilo linawahimiza Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani iliyopo nchini, kwani bila uwepo wa amani shughuli za kimaendeleo katika jamii haziwezi kufanyika, na hata ibada pia hazitafanyika.

Akizungumza mara baada ya kuswaliwa kwa swala ya Eid al-Adh-ha kitaifa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Alhaj Mruma amesema:

"Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) linatoa wito kwa kila Mtanzania, kwa nafasi yake, kuilinda na kudumisha amani ya nchi yetu, kwani bila amani hakutakuwa na maendeleo yoyote katika jamii, na hata fursa ya kufanya ibada haitakuwepo."

Alhaj Mruma ametoa wito pia kwa wote watakaoshiriki katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanya siasa safi na kutumia vizuri haki hii ya kikatiba kupitia ushiriki wao wa kuchagua viongozi au kuchaguliwa kuwa viongozi.

Amehimiza pia kuwa mamlaka zinazohusika na kusimamia uchaguzi zitende haki wakati wa mchakato mzima wa uchaguzi huu mkuu, ili haki hii ya kikatiba ipatikane kwa kila mwananchi.
View attachment 3358935
No Reform No Election
 
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuru Mruma, amesema baraza hilo linawahimiza Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani iliyopo nchini, kwani bila uwepo wa amani shughuli za kimaendeleo katika jamii haziwezi kufanyika, na hata ibada pia hazitafanyika.

Akizungumza mara baada ya kuswaliwa kwa swala ya Eid al-Adh-ha kitaifa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Alhaj Mruma amesema:

"Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) linatoa wito kwa kila Mtanzania, kwa nafasi yake, kuilinda na kudumisha amani ya nchi yetu, kwani bila amani hakutakuwa na maendeleo yoyote katika jamii, na hata fursa ya kufanya ibada haitakuwepo."

Alhaj Mruma ametoa wito pia kwa wote watakaoshiriki katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanya siasa safi na kutumia vizuri haki hii ya kikatiba kupitia ushiriki wao wa kuchagua viongozi au kuchaguliwa kuwa viongozi.

Amehimiza pia kuwa mamlaka zinazohusika na kusimamia uchaguzi zitende haki wakati wa mchakato mzima wa uchaguzi huu mkuu, ili haki hii ya kikatiba ipatikane kwa kila mwananchi.
View attachment 3358935
Amani ya nchi yetu ilindwe dhidi ya maadui wa kutoka nnje au ndani
 
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) linatoa wito kwa kila Mtanzania, kwa nafasi yake, kuilinda na kudumisha amani ya nchi yetu, kwani bila amani hakutakuwa na maendeleo yoyote katika jamii, na hata fursa ya kufanya ibada haitakuwepo.
Ngumu mno Bakwata kuhubiri Haki!
Hii ni Jumuiya ya CCM kwa utendaji wake hivyo tuachane nao kwani tunawajua!
 
Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Alhaj Nuru Mruma, amesema baraza hilo linawahimiza Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani iliyopo nchini, kwani bila uwepo wa amani shughuli za kimaendeleo katika jamii haziwezi kufanyika, na hata ibada pia hazitafanyika.

Akizungumza mara baada ya kuswaliwa kwa swala ya Eid al-Adh-ha kitaifa katika Msikiti wa Mfalme Mohamed VI, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Alhaj Mruma amesema:

"Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) linatoa wito kwa kila Mtanzania, kwa nafasi yake, kuilinda na kudumisha amani ya nchi yetu, kwani bila amani hakutakuwa na maendeleo yoyote katika jamii, na hata fursa ya kufanya ibada haitakuwepo."

Alhaj Mruma ametoa wito pia kwa wote watakaoshiriki katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kufanya siasa safi na kutumia vizuri haki hii ya kikatiba kupitia ushiriki wao wa kuchagua viongozi au kuchaguliwa kuwa viongozi.

Amehimiza pia kuwa mamlaka zinazohusika na kusimamia uchaguzi zitende haki wakati wa mchakato mzima wa uchaguzi huu mkuu, ili haki hii ya kikatiba ipatikane kwa kila mwananchi.
View attachment 3358935
Hawa sio waislam ni tawi la ccm
 
Sasa Bakwata Siasa mnaiongelea ya nini? Si hakuna kuongelea siasa msikitini na kanisani?

Gwajima kahimiza Siasa safi ya kutokutekana, kufirana na kuuana kafungiwa kanisa.

Aliyeshauri kufungia kanisa kanihuzunisha sana mimi Mwana CCM.
 
Back
Top Bottom