BAKWATA iliundwa na nani?
hao wameibuka baada ya kuona wenye madaraka na BAKWATA wana tumia vibaya rasmali za baraza ndio maana wakaanza kusema ukweli na hapo sioni kama ni tatizo,

mkuu kwa nini ponda asikemee huo ubadhirifu kwa kupitia vikao rasmi vya bakwata, je atafanikiwa vipi kwa kukemea ubadhirifu akiwa nje ya mfumo wa uongozi tena kwenye mihadhara isiyo na vibali?
 
Unaposema inalalamikiwa na Waislam wengi, what if na mimi nikisema inaungwa mkono na Waislam wengi? Swali hapa ni wangapi?

Ponda alipounda hiki kikundi chake cha ugaidi, amepata wapi ridhaa ya kusema anawawakilisha Waislamu?

Hapa kuna jambo moja la msingi unapaswa kujua. Uislam hauna hierarchy inayoeleweka kimataifa at the same time, Waislam wanataka sauti ya pamoja kama walivyo Roman Catholic. Hii ni ngumu. Ni ngumu kwa msingi kwamba, hata leo hii ikiondolewa BAKWATA, hakuna namna Waislam wanaweza kujiunda na kujiwekea chombo/taasisi. Mfano mzuri ni haya makanisa yanayochipuka kila leo kiasi mengine yana majina ya binadamu...Kanisa la Mwasota, Kanisa la Mpimbinjenje n.k, as far as hayana established central board, basi hakuna kukubaliana.

Wakati Ponda anaandaa harakati za kuing'oa BAKWATA, nataka nikukumbushe kuwa lilikuwepo kundi lingine la Waislam lililosema hawatanyamaza kuona Mufti anakosewa adabu na Ponda. Tell me brother, who will tell who, on who are Muslims and who are not?

Sunni hawawatambui Waislailiya kuwa Waislam na katika nchi nyingine wanawaua kabisa. Sunni na Shiite hawafungamani kama uonavyo Iraq, Syria, Iran na kwingineko, je wewe Sunni (mathalan), utakuwa radhi kuongozwa na Shiite?
....kwa wingi wanaoikubali TAASISI NA kwa wingi wao wanaoikataa.....BAKWATA ilianza kupingwa toka kipindi cha kuundwa kwake soma historia mzee watu walienda jela kwa kutoikubali bakwata swala la kupingwa kwa bakwata halijaanzia leo,na nikwambie kitu wanaoikubali BAKWATA ni wale wasio jua BAKWATA ILIUNDWAJE,NA HAWANA LOLOTE wanalojua juu bakwata na historia yake na ndio maana yyt atakae zungumza historia ya bakwata atakuwa muharifu,na hao viongozi wako unao waona wanauma na kupuliza na kingine wanaheshimu familia zao na matumbo yao.
 
mkuu kwa nini ponda asikemee huo ubadhirifu kwa kupitia vikao rasmi vya bakwata, je atafanikiwa vipi kwa kukemea ubadhirifu akiwa nje ya mfumo wa uongozi tena kwenye mihadhara isiyo na vibali?

sijamzungumzia ponda hapa,ila kuna tofauti gani kati ya chama tawala na chama pinzani....wakina ponda's wamekuwa ni kama upinzani kwa BAKWATA kwa kujua kwao madudu ya BAKWATA.....WEWE UNADHANI KWANINI SERIKALI BADO WANAIKUMBATIA BAKWATA???
 
MUANZISHA MADA HONGERA SANA NDG ZETU WABUBUJIKE ILI KUPATA SULUHISHO SAHIHI LA "BAKWATA" WAITAKAYO ili tupuzike na ghasia zinazolipukalika hovyohovyo
 
Waisilamu wanalaumu kwamba BAKWATA ilianzishwa na serikali. Waisilamu hao hao wanailazimisha serikali iuwaanzishie mahakama ya kadhi. Kwa ufupi waisilamu ni watu wa ajabu sana hapa duniani, ni majanga!
 
Habari zenu Wana JF.

BAKWATA NI YA NANI- SEHEMU YA KWANZA
Leo tujikite kwenye swala hili ambalo kimsingi ndio chimbuko la mgawanyiko wa maslahi ya watu fulani fulani.Nimekuwa nikipitia pitia vyanzo vingi ili kujua NI NANI WALIOANZISHA BAKWATA ambayo mpaka muda huu imekuwa ikilalamikiwa na WAISLAMU wengi kuwa ipo chini ya SERIKALI na inafata MASHARTI YA SERIKALI.

Katika Mahubiri ya SHEIKH ilunga kati ya moja ya dvd zake ameeleza bila woga kabisa kuwa BAKWATA iliundwa 1968 mjini IRINGA,kwenye UKUMBI WA SAPUNA CINEMA IRINGA na USALAMA WA TAIFA waliopata mafunzo MOSADI israeli.

Mwaka huo MWL.JULIUS NYERERE ndie alie agiza kuvunjwa kwa EAST AFRICAN MUSLIMS WELFARE na kuwakusanya USALAMA WA TAIFA na kuwapeleka IRINGA kuunda BAKWATA wakiongozwa na SHUSHU RASHIDI KAYUGWA pamoja na wenzake.Kwa maana hiyo BAKWATA haikuundwa na WAISLAMU wenyewe bali Iliundwa na USALAMA WA TAIFA WAISLAMU.

Hao ndio walokuwa waislamu kwanza kipindi cha nyerere ambao aliwateua na kuwapeleka ISRAELI kusomea ushushu na ndio waliouunda BAKWATA.

....BAKWATA NI YA NANI.........???????


Kimsingi hapa ndio chimbuko la matatizo yote ya BAKWATA NA WAISLAMU.

ANGALIZO;mods sitapenda lughs za kejeli,matusi na kukoseana heshima katika kujadiri hili na niombe atakae kiuka adhibitiwe mara moja,kila mchangiaji ajenge hoja nini ajuacho kuhusu BAKWATA na si vinginevyo.

mods ondoa huu Uzi, kama ni mambo ya dini mkajadiliane huko msikitini.Siku hizi watu wanajadili mambo ya maendeleo bwana.Kila kukicha dini, dini, dini.
 
MUANZISHA MADA HONGERA SANA NDG ZETU WABUBUJIKE ILI KUPATA SULUHISHO SAHIHI LA "BAKWATA" WAITAKAYO ili tupuzike na ghasia zinazolipukalika hovyohovyo

Ifike wakati serikali iwe na AIBU kwa hili,historia yaonyesha wao kama serikali ndio waliocheza rafu kwa kuwatumia hawa jamaa,Adam Nasibu, Sheikh Kassim Juma na Abdallah Chaurembo.
 
Waisilamu wanalaumu kwamba BAKWATA ilianzishwa na serikali. Waisilamu hao hao wanailazimisha serikali iuwaanzishie mahakama ya kadhi. Kwa ufupi waisilamu ni watu wa ajabu sana hapa duniani, ni majanga!

kama serikali iliweza kuanzisha BAKWATA kwanini ishindwe MAHAKAMA YA KADHI,bakwata ikitoka mikononi mwa serikali wataweza kuanzisha mahakama yao na serikali kuwa na mwakilishi tu katika mchakato mzima na kutoa ushauri.
 
mods ondoa huu Uzi, kama ni mambo ya dini mkajadiliane huko msikitini.Siku hizi watu wanajadili mambo ya maendeleo bwana.Kila kukicha dini, dini, dini.

kama unaona kwako upuuzi kuna majukwaa mengi NENDA,hii nchii haina utawala wa AMRI
 
kama serikali iliweza kuanzisha BAKWATA kwanini ishindwe MAHAKAMA YA KADHI,bakwata ikitoka mikononi mwa serikali wataweza kuanzisha mahakama yao na serikali kuwa na mwakilishi tu katika mchakato mzima na kutoa ushauri.
Serikali imejifunza; inaogopa kuwa kwa suala la mahakama ya kadhi itakuja kulaumiwa kama inavyolaumiwa kwa suala la BAKWATA, kwa hiyo heri wawaachie walalamikaji waianzishe wenyewe!
 
Bakwata ilianzishwa na Nyerere kule iringa baada ya mwl kutoka tabora kuzungumza na wazee wa kikatoliki.

Bakwata haikuanzishwa kwa nia ya kuwasaidia waislam kwa namna yeyote, hata mzee ruksa analijua hilo.

Kwani waislamu wanataka kusaidiwa na BAKWATA kutatuta matatizo gani?
 
Serikali imejifunza; inaogopa kuwa kwa suala la mahakama ya kadhi itakuja kulaumiwa kama inavyolaumiwa kwa suala la BAKWATA, kwa hiyo heri wawaachie walalamikaji waianzishe wenyewe!

sasa kama ni hivyo serikali iache bakwata ifanye mambo yake,na kama baadhi ya watumishi wake hawakuhusika kula njama za kuuza mali za bakwata hakuna ulazima wa kuendelea kuikumbatia,wa plant watu kama wanavyofanya kwa madhehebu mengine,lakini si kila kitu kufanya wao.WAICHE BAKWATA SASA ili ipate viongozi wenye nidhamu na utii wa imani yao.
 
kwani waislamu wanataka kusaidiwa na bakwata kutatuta matatizo gani?

waislamu wanataka bakwata safi isiyo na mkono wa serikali,bakwata itakayo heshimu mali za taasisi hizo ili zilete manufaa kwao na kwa wengine,
 
Waisilamu wanalaumu kwamba BAKWATA ilianzishwa na serikali. Waisilamu hao hao wanailazimisha serikali iuwaanzishie mahakama ya kadhi. Kwa ufupi waisilamu ni watu wa ajabu sana hapa duniani, ni majanga!
Wakristo wanakataa Mahakama ya Kadhi kugharamiwa na serikali lakini hawaoni tabu yoyote BAKWATA kugharamiwa kwa pesa za serikali!

Serkali nayo haitaki kuigharamia Mahakama ya kadhi lakini haioni ubaya wowote kuigharamia BAKWATA.

Kanisa na serikali nani ni nani?
 
ukweli ndio huo ni ubwabwa mbele wala sio ibada, kikubwa ni commercialization of islam kama unafikiri duniani kuna siku utaiona amani basi we ni chizi, ni kaburini tu ndiko kuliko na amani, zoea vurugu kama uko hai usiwe mwanamke mkubwa.

tatizo lako nini....??? kama hauna cha kuchangia unakaa kimya tu,
 
Mkuu SP mimi nakubaliana na wewe kabisa. Umefika wakati wa watu kuacha kulalamika kama ambavyo wamekuwa wanafanya kwa miaka zaidi ya 40 iliyopita. Pamoja na kuangalia re-oragisation ya BAKWATA, lakini pia waislamu wanatakiwa kujipanga.

Tunapoona wachanga, wahaya na wanyakuyusa wameshika naafasi za juu katika ofisini za serikali na mashirika ya umma, hata kwa watu binafsi, it did not happen out of the blue. Mzee ruksa alikuwa Raisi wa nchi hii kuanzia mwaka 1985 na hadi sasa Raisi a;pyeko madarakani ni mwislamu.

Adolf Hitler alijaribu sana kuwateketeza Jews, na wao walipojua fate yao walijipanga. leo hii tunalijua vema taifa hilo na makeke yake,

Mimi nadhani kama waislamu wangejipanga vizuri tokea wakati mwa Utawala wa Myinyi, hali ingekuwa tofauti sana. Moja kati ya mikakati ya mzeee Ruksa ni kumfanya kighoma Malima (RIP) kuwa waziri wa elimu. Alikifanya wizarani pale kinafahamika. Ni zaidi ya miaka 30, wafadhili wangejikiza zaidi kwenye kujenga shule na institutions za elimu ili kupunguza gap linalolalamikiwa (kati ya waislamu na wakristo). Tokea 1985, kama wangekuwa wamejipanga, hadi sasa wamekuwa na vijana ambao wamemaliza shahada ya pili na wengine wanafanya shahada ya tatu. Kwa njia hiyo, utashangaa haya malamiko yote ya kuonewa yashingekuwepo.

Shida, watu wamebaki kulalamika tu na hakuna mikakati madhubuti ya kuondoka tofauti hiyo miaka ya baadaye


Ndugu, hii ishu ya BAKWATA, imekua kama jinamis!! waislam baadhi hawaitaki na kigezo ni kuwa ipo close na serikali!! Lakini kiundani ni kwamba BAKWATA ile ya mwanzo na uongozi wake, wameshindwa kufanya mabadiliko kwenda na wakati, idadi ya waislam imeongezeka, dunia imebadilika, wale mashekhe wamebaki rigid. Mabadiliko kwenye uislam yamepata nafasi, hivyo nchi za kiarabu, maana ndo zenye ushawishi na dini hiyo, zimeibuka na makundi, mfano ushia, answar sun nk umekua na kujitanua, hivyo bakwata ikajikuta haiweza kumeza mabadiliko hayo yote!!

Kuna watu hawataki bakwata, lakini hawaji na njia mpya ya kutatua tatizo wamebaki na maneno tena yale ya viongozi waliokataliwa na kisha kuizushia bakwata mabaya, bila jema hata moja, naamini ina mema yake.

Je Bakwata ndo tatizo? Jibu langu hapana, katika dini hii misikiti yote ni mali ya watu flan, ama aliye ujenga, au imamu wa pale au au....., hivyo organization structure ya uislam ipo ngumu kiasi. Mfano shekhe wa wilaya hana sauti na mamlaka ya kuchagua maimamu wa misikiti katika misikiti iliyopo eneo lake, na mkoa n,k nini madhara yake? hamna mwenye kumtii mwingine. shekhe mkuu hawezi mkanya/ adhibu au kumfukuza, shekhe/imamu wa mkoa, wilaya, au kata.
Hivyo yake kila msikiti umekuwa independent hivyo kufanya individual decisions, wakati mwingine zina kwanza Bakwata as organization.

Nini kifanyike? kuvunja Bakwata siyo suluhu, ila kuimodern ma kure-organize ikiwa na kureform institution ili iendane na wakati ni muhimu sana!! tatizo nani anafanya hivyo? je TAMPR, MAULAMAA, wasomi n.k wanafanya nini? nao walalama!!! ajabu na kweli!!! Kosa ambalo leo limefanywa ni kuwa na vitasisi vingii, vidogo vidogo vya kislaam kisha vina bishana venyewe, kisha vinatoa maoni kwa niaba ya waislam wote, ingawa wengine hawavitambui.

Nani aliunda BAKWATA jibu lake siyo suluhisho, BAKWATA ifanye kazi zake kwa ufanisi hilo ndo suluhisho!!, we never walk the dead, otherwise we shall never stop complains.
Sp
 
Wakristo wanakataa Mahakama ya Kadhi kugharamiwa na serikali lakini hawaoni tabu yoyote BAKWATA kugharamiwa kwa pesa za serikali!

Serkali nayo haitaki kuigharamia Mahakama ya kadhi lakini haioni ubaya wowote kuigharamia BAKWATA.

Kanisa na serikali nani ni nani?

mkuu umeongea kweli lakini hapa tujadiri bakwata na serikali,
 
Mkuu SP mimi nakubaliana na wewe kabisa. Umefika wakati wa watu kuacha kulalamika kama ambavyo wamekuwa wanafanya kwa miaka zaidi ya 40 iliyopita. Pamoja na kuangalia re-oragisation ya BAKWATA, lakini pia waislamu wanatakiwa kujipanga.

Tunapoona wachanga, wahaya na wanyakuyusa wameshika naafasi za juu katika ofisini za serikali na mashirika ya umma, hata kwa watu binafsi, it did not happen out of the blue. Mzee ruksa alikuwa Raisi wa nchi hii kuanzia mwaka 1985 na hadi sasa Raisi a;pyeko madarakani ni mwislamu.

Adolf Hitler alijaribu sana kuwateketeza Jews, na wao walipojua fate yao walijipanga. leo hii tunalijua vema taifa hilo na makeke yake,

Mimi nadhani kama waislamu wangejipanga vizuri tokea wakati mwa Utawala wa Myinyi, hali ingekuwa tofauti sana. Moja kati ya mikakati ya mzeee Ruksa ni kumfanya kighoma Malima (RIP) kuwa waziri wa elimu. Alikifanya wizarani pale kinafahamika. Ni zaidi ya miaka 30, wafadhili wangejikiza zaidi kwenye kujenga shule na institutions za elimu ili kupunguza gap linalolalamikiwa (kati ya waislamu na wakristo). Tokea 1985, kama wangekuwa wamejipanga, hadi sasa wamekuwa na vijana ambao wamemaliza shahada ya pili na wengine wanafanya shahada ya tatu. Kwa njia hiyo, utashangaa haya malamiko yote ya kuonewa yashingekuwepo.

Shida, watu wamebaki kulalamika tu na hakuna mikakati madhubuti ya kuondoka tofauti hiyo miaka ya baadaye

ndio maana watu husema serikali ina mkono mrefu .....isue si kulalama isue hapa srikali ikae pembeni iache bakwata waamue mambo yao,BAKWATA ndio mmiliki wa mali za waislamu wao ndio wanaotambulika zaidi,ndio wasemaji wa waislamu TZ nzima sasa watakapo kuwa na maamuzi yao binafsi wataendesha miladi yao bila kuingiliwa na serikali na mpk kusomesha watu wao,kama walikosea basi walikosea mwanzo si leo
 
Back
Top Bottom