Ndugu, hii ishu ya BAKWATA, imekua kama jinamis!! waislam baadhi hawaitaki na kigezo ni kuwa ipo close na serikali!! Lakini kiundani ni kwamba BAKWATA ile ya mwanzo na uongozi wake, wameshindwa kufanya mabadiliko kwenda na wakati, idadi ya waislam imeongezeka, dunia imebadilika, wale mashekhe wamebaki rigid. Mabadiliko kwenye uislam yamepata nafasi, hivyo nchi za kiarabu, maana ndo zenye ushawishi na dini hiyo, zimeibuka na makundi, mfano ushia, answar sun nk umekua na kujitanua, hivyo bakwata ikajikuta haiweza kumeza mabadiliko hayo yote!!
Kuna watu hawataki bakwata, lakini hawaji na njia mpya ya kutatua tatizo wamebaki na maneno tena yale ya viongozi waliokataliwa na kisha kuizushia bakwata mabaya, bila jema hata moja, naamini ina mema yake.
Je Bakwata ndo tatizo? Jibu langu hapana, katika dini hii misikiti yote ni mali ya watu flan, ama aliye ujenga, au imamu wa pale au au....., hivyo organization structure ya uislam ipo ngumu kiasi. Mfano shekhe wa wilaya hana sauti na mamlaka ya kuchagua maimamu wa misikiti katika misikiti iliyopo eneo lake, na mkoa n,k nini madhara yake? hamna mwenye kumtii mwingine. shekhe mkuu hawezi mkanya/ adhibu au kumfukuza, shekhe/imamu wa mkoa, wilaya, au kata.
Hivyo yake kila msikiti umekuwa independent hivyo kufanya individual decisions, wakati mwingine zina kwanza Bakwata as organization.
Nini kifanyike? kuvunja Bakwata siyo suluhu, ila kuimodern ma kure-organize ikiwa na kureform institution ili iendane na wakati ni muhimu sana!! tatizo nani anafanya hivyo? je TAMPR, MAULAMAA, wasomi n.k wanafanya nini? nao walalama!!! ajabu na kweli!!! Kosa ambalo leo limefanywa ni kuwa na vitasisi vingii, vidogo vidogo vya kislaam kisha vina bishana venyewe, kisha vinatoa maoni kwa niaba ya waislam wote, ingawa wengine hawavitambui.
Nani aliunda BAKWATA jibu lake siyo suluhisho, BAKWATA ifanye kazi zake kwa ufanisi hilo ndo suluhisho!!, we never walk the dead, otherwise we shall never stop complains.
Sp