Baki njia kuu, epuka Michepuko!


Hii ni hatari hasa kwa upande wa geji ya mafuta maana gari laweza kuzimika zimika njiani likiwekwa sana kwenye foleni
 
Hii ni hatari hasa kwa upande wa geji ya mafuta maana gari laweza kuzimika zimika njiani likiwekwa sana kwenye foleni
Hahah ndo mzitengeneze hizo geji na kuhakikisha mna full tanks kila saa bana...........Baki njia kuu nitonye inalipa
 
Last edited by a moderator:
Hahahah si ndo apo chacha. uchochoro ndo mpango mzima. Hufupisha safari.

Uchochoro mwingine umejaa vibaka wanatandaza misumali chini wanatoboa matairi kutahamaki pancha hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…