Bakhressa aleta taxi za baharini kwenda Kigamboni

Hii kitu iko pale Dubai kwa wingi watu wametumia fursa zao,wengine wanajua kufungua Bar tu na kutuchukulia wake zetu tu
Mkuu mbona unakuwa kama unamwongelea baba angu mkwe tu (R.I.P.) yeye alikuwa alikuwa amekalia kufungua baa tu na kula madem matokeo yake hatuko nae tena mafao watoto hata hawakuyaona!
 
Mkuu mbona unakuwa kama unamwongelea baba angu mkwe tu (R.I.P.) yeye alikuwa alikuwa amekalia kufungua baa tu na kula madem matokeo yake hatuko nae tena mafao watoto hata hawakuyaona!

mkuu pole sana ,sio yeye tu waafrika ndio tulivyo,unakuta Daktari mzuri tu na taaluma yake badala afungue hospitali asaidie watu huku akiongeza kipato chake ,yeye atafungua Bar kila mtaa ,
mswahili akipata pesa basi wake za watu na watoto wa shule ndio watapata tabu ,hataacha mpaka afilisike tu
 
Ukifika Kampala.ukiita Taxi inakuja Hiace. Sio vizuri kukariri mazoea

http://www.livinginkampala.com/wp-content/uploads/2012/06/transportation-in-kampala1.jpg
Umenikumbusha mkuu. Bora ya Kampala. Usukumani ukiita daladala inakuja baskeli. Jamaa yangu alielekezwa akifika sehemu huko Shinyanga apande daladala. Aliposhuka akakuta baskeli kibao zimepaki, yeye akasimama pembeni anasubiri daladala. Alisubiri sana. Kama siyo hizi simu za mkononi....aaaah........tulishampoteza mshkaji. Si vizuri kukariri.
 
Bakhresa kiboko jinsi alivyouza ving'amuzi kila kijiji sina hamu naye,wakati wazee wakujikosha na media anaoa ma miss na kugombana na kila waziri serikalini
 
B ado natafakari kipato cha 7M kwa dakika.
hahahaha mambo ya fursa hayo,hata kama za wizi,ila tu usikamatwe,saa nzima ana shilingi ngapi?na tokea aanze kuiba anamahela hata hayahesabiki,halafu bado tunaambiwa Tanzania masikini
 
Back
Top Bottom