Bashite hapo yupo like what...huyu mzee ananipita bila kunipa mkono hanijui mi nani?
Mzee nimependa maisha yake,pia naona ana busara mno maana hata wanae licha ya kusoma vyuo vya ughaibuni.maisha mazuri.investment za kila aina.Nyumba za kifahari na kupangilia migari ya kila aina hawana kelele kabisa.yani mtoto wa bakhresa umkite anapigana na kulumbana na mtu halafu anauliza "unanijua mi nani*?
anajua akishamzoea Bashite ataanza kumuomba-omba pesa.
😂😂😂 sidhani kama hata huo muda wa kukufikiria ako nao!Haaaa haaaa alinipita hata mimi,badala ya kunisalimia kwa unyenyekevu kajipitia tu kama vile sikuwepo.Huyu Mzee ni shida labda anafikiri yeye ni tajiri kuliko mimi.
Huyu mzee ni mtu aliyeanza ALIF kwa kijiti. Alikuwa na kaduka kaa kuuza viatu, akaanzisha machine ndogo za kawaida za ice cream za kons. Miaka ya early 80s Kaka yangu alikuwa anafanya kazi Abu Dhabi, alishakutana naye kwenye ndege ya Air Tz, akiwa amebeba maboxi ya cons za ice cream.
Pesa zake kazitengeneza kwa jitihada nyingi na subira, kwa hivyo hawezi kuwa na woga wa wanasiasa, na katika globalization ya leo, kesha jijenga vizuri sana, hatishiki.
Pia ni mtu muungwana sana, hapendi majivuno,anasaidia masikini na wanyonge, mpenda haki
Na hutakaa usikie kwamba ametoa msaada...Huyu mzee ni mtu aliyeanza ALIF kwa kijiti. Alikuwa na kaduka kaa kuuza viatu, akaanzisha machine ndogo za kawaida za ice cream za kons. Miaka ya early 80s Kaka yangu alikuwa anafanya kazi Abu Dhabi, alishakutana naye kwenye ndege ya Air Tz, akiwa amebeba maboxi ya cons za ice cream.
Pesa zake kazitengeneza kwa jitihada nyingi na subira, kwa hivyo hawezi kuwa na woga wa wanasiasa, na katika globalization ya leo, kesha jijenga vizuri sana, hatishiki.
Pia ni mtu muungwana sana, hapendi majivuno,anasaidia masikini na wanyonge, mpenda haki
Ukweli mtupu!Hahahaa! ukiwa tajiri,lolote utakalofanya utasifiwa tu,ingekua masikini ndio kafanya hivyo,angetupiwa kila aina ya matusi,angeonekana ana dharau pia,mfanyabiashara kama Bakhresa ni lazima awe anawajua hao viongozi,wafanya biashara hufuatilia kwa ukaribu sana mambo ya siasa na uongozi kwani yana impact kubwa sana kwenye biashara zao.
Kwanza hao watoto wake utaanza kukutana nao wapi mpk mpigane mkuu?
kwa mtogole 😂 😂 😂 na kwa mfuga mbwaKwanza hao watoto wake utaanza kukutana nao wapi mpk mpigane mkuu?
hapo Bashite anamtamani amuombe pesa
Tatizo wabongo huwaza vitu negativeNdo nnachokiongea.
Hawa watoto wa bakhresa ni watu social tu,nna marafiki wa kiume nine soma nao chuo wakaingia kwenye makampuni na kupata kazi kupitia connection na urafiki walionao kwa hawa watoto wake.
Unaweza hata pishana nae kwenye shopping mall lakini hawezi kukufata na kujidai mi mtoto wa bakh.lakini wana urafiki na watu wengi wa kawaida sana.
Pia wana angalia we ni mtu wa aina gani.kama unaendana nao wanajichanagya
Bila kuna watoto wengine wa matajiri unakuta wanapigana club,wamepakata Malaya nk
😅😅😅😅😅😅Kwanza hao watoto wake utaanza kukutana nao wapi mpk mpigane mkuu?
Hahah huko jiandae kukutana na wakina Wema sepetu,tunda,wolper,dogo janja.kwa mtogolena kwa mfuga mbwa
Hapo bash anampigia mahesabu ya jinsi gani amkomoe.Bashite hapo yupo like what...huyu mzee ananipita bila kunipa mkono hanijui mi nani?
Mzee nimependa maisha yake,pia naona ana busara mno maana hata wanae licha ya kusoma vyuo vya ughaibuni.maisha mazuri.investment za kila aina.Nyumba za kifahari na kupangilia migari ya kila aina hawana kelele kabisa.yani mtoto wa bakhresa umkite anapigana na kulumbana na mtu halafu anauliza "unanijua mi nani*?
Kwani ana pamba gani ya maana zaidi ya hayo matambara ya kijani?Komredi Polepole alitimba msibani na jezi ya Lumumba FC?!
Nauliza tu!
Ndo nnachokiongea.
Hawa watoto wa bakhresa ni watu social tu,nna marafiki wa kiume nine soma nao chuo wakaingia kwenye makampuni na kupata kazi kupitia connection na urafiki walionao kwa hawa watoto wake.
Unaweza hata pishana nae kwenye shopping mall lakini hawezi kukufata na kujidai mi mtoto wa bakh.lakini wana urafiki na watu wengi wa kawaida sana.
Pia wana angalia we ni mtu wa aina gani.kama unaendana nao wanajichanagya
Bila kuna watoto wengine wa matajiri unakuta wanapigana club,wamepakata Malaya nk
Hapo bash anampigia mahesabu ya jinsi gani amkomoe.
Halafu hili jitu...angalia hata hata uso wake unaonesha kabisa.
Alipoteza hata concentration kwenye tukio
Hapo bash anampigia mahesabu ya jinsi gani amkomoe.