mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,979
Kwanza hao watoto wake utaanza kukutana nao wapi mpk mpigane mkuu?
Bashite hapo yupo like what...huyu mzee ananipita bila kunipa mkono hanijui mi nani?
Mzee nimependa maisha yake,pia naona ana busara mno maana hata wanae licha ya kusoma vyuo vya ughaibuni.maisha mazuri.investment za kila aina.Nyumba za kifahari na kupangilia migari ya kila aina hawana kelele kabisa.yani mtoto wa bakhresa umkite anapigana na kulumbana na mtu halafu anauliza "unanijua mi nani*?