Bakhresa kwa Makonda, Mwakyembe na Tido, na Nilichojifunza Binafsi

Kwanza hao watoto wake utaanza kukutana nao wapi mpk mpigane mkuu?
Bashite hapo yupo like what...huyu mzee ananipita bila kunipa mkono hanijui mi nani?

Mzee nimependa maisha yake,pia naona ana busara mno maana hata wanae licha ya kusoma vyuo vya ughaibuni.maisha mazuri.investment za kila aina.Nyumba za kifahari na kupangilia migari ya kila aina hawana kelele kabisa.yani mtoto wa bakhresa umkite anapigana na kulumbana na mtu halafu anauliza "unanijua mi nani*?
 
Haaaa haaaa alinipita hata mimi,badala ya kunisalimia kwa unyenyekevu kajipitia tu kama vile sikuwepo.Huyu Mzee ni shida labda anafikiri yeye ni tajiri kuliko mimi.
😂😂😂 sidhani kama hata huo muda wa kukufikiria ako nao!
 
Mzee Mwinyi&the family wanakucheki tu wanasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Huyu mzee ni mtu aliyeanza ALIF kwa kijiti. Alikuwa na kaduka kaa kuuza viatu, akaanzisha machine ndogo za kawaida za ice cream za kons. Miaka ya early 80s Kaka yangu alikuwa anafanya kazi Abu Dhabi, alishakutana naye kwenye ndege ya Air Tz, akiwa amebeba maboxi ya cons za ice cream.

Pesa zake kazitengeneza kwa jitihada nyingi na subira, kwa hivyo hawezi kuwa na woga wa wanasiasa, na katika globalization ya leo, kesha jijenga vizuri sana, hatishiki.

Pia ni mtu muungwana sana, hapendi majivuno,anasaidia masikini na wanyonge, mpenda haki
 
Huyu mzee ni mtu aliyeanza ALIF kwa kijiti. Alikuwa na kaduka kaa kuuza viatu, akaanzisha machine ndogo za kawaida za ice cream za kons. Miaka ya early 80s Kaka yangu alikuwa anafanya kazi Abu Dhabi, alishakutana naye kwenye ndege ya Air Tz, akiwa amebeba maboxi ya cons za ice cream.

Pesa zake kazitengeneza kwa jitihada nyingi na subira, kwa hivyo hawezi kuwa na woga wa wanasiasa, na katika globalization ya leo, kesha jijenga vizuri sana, hatishiki.

Pia ni mtu muungwana sana, hapendi majivuno,anasaidia masikini na wanyonge, mpenda haki
Na hutakaa usikie kwamba ametoa msaada...
 
Hahahaa! ukiwa tajiri,lolote utakalofanya utasifiwa tu,ingekua masikini ndio kafanya hivyo,angetupiwa kila aina ya matusi,angeonekana ana dharau pia,mfanyabiashara kama Bakhresa ni lazima awe anawajua hao viongozi,wafanya biashara hufuatilia kwa ukaribu sana mambo ya siasa na uongozi kwani yana impact kubwa sana kwenye biashara zao.
Ukweli mtupu!
 
Wewe umaskini wako usikufanye uingie kwenye vichwa vya watu na kujifanya unajua wanachofikiria

Pale msibani ulitaka waanze kupiga story gani?

Hao wote Walisalimiana kabla ya kuketi
 
Ndo nnachokiongea.
Hawa watoto wa bakhresa ni watu social tu,nna marafiki wa kiume nine soma nao chuo wakaingia kwenye makampuni na kupata kazi kupitia connection na urafiki walionao kwa hawa watoto wake.
Unaweza hata pishana nae kwenye shopping mall lakini hawezi kukufata na kujidai mi mtoto wa bakh.lakini wana urafiki na watu wengi wa kawaida sana.
Pia wana angalia we ni mtu wa aina gani.kama unaendana nao wanajichanagya
Bila kuna watoto wengine wa matajiri unakuta wanapigana club,wamepakata Malaya nk
Kwanza hao watoto wake utaanza kukutana nao wapi mpk mpigane mkuu?
 
Ndo nnachokiongea.
Hawa watoto wa bakhresa ni watu social tu,nna marafiki wa kiume nine soma nao chuo wakaingia kwenye makampuni na kupata kazi kupitia connection na urafiki walionao kwa hawa watoto wake.
Unaweza hata pishana nae kwenye shopping mall lakini hawezi kukufata na kujidai mi mtoto wa bakh.lakini wana urafiki na watu wengi wa kawaida sana.
Pia wana angalia we ni mtu wa aina gani.kama unaendana nao wanajichanagya
Bila kuna watoto wengine wa matajiri unakuta wanapigana club,wamepakata Malaya nk
Tatizo wabongo huwaza vitu negative
Yule Mzee sio muongeaji hata kidogo ila ukiweka hoja mezani ndio mtajadili

Sasa mtoa maada anaropoka tu
 
Bashite hapo yupo like what...huyu mzee ananipita bila kunipa mkono hanijui mi nani?

Mzee nimependa maisha yake,pia naona ana busara mno maana hata wanae licha ya kusoma vyuo vya ughaibuni.maisha mazuri.investment za kila aina.Nyumba za kifahari na kupangilia migari ya kila aina hawana kelele kabisa.yani mtoto wa bakhresa umkite anapigana na kulumbana na mtu halafu anauliza "unanijua mi nani*?
Hapo bash anampigia mahesabu ya jinsi gani amkomoe.
 
Hao kama ni club wakienda wanakua VIP kajamba nani hakuna huko,totozi ni wapambe tu wanafanya kazi ya kuimbisha manzi anapelekwa double tree/kempinsiki(presidential rooms) au huko kwny yatch yeye mshikaji akija kazi ni 1 tu.,mbupu.com

Wanajua nafasi yao kwny jamii.
Ndo nnachokiongea.
Hawa watoto wa bakhresa ni watu social tu,nna marafiki wa kiume nine soma nao chuo wakaingia kwenye makampuni na kupata kazi kupitia connection na urafiki walionao kwa hawa watoto wake.
Unaweza hata pishana nae kwenye shopping mall lakini hawezi kukufata na kujidai mi mtoto wa bakh.lakini wana urafiki na watu wengi wa kawaida sana.
Pia wana angalia we ni mtu wa aina gani.kama unaendana nao wanajichanagya
Bila kuna watoto wengine wa matajiri unakuta wanapigana club,wamepakata Malaya nk
 
48 Reactions
Reply
Back
Top Bottom