JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,442
- 54,993
Mboka Manyema,
..ninachozungumzia mimi ni Bakhresa kuwapa wananchi wenzake "ndowana" wavue, siyo "samaki" wale.
..la kwanza, ingependeza kama angefungua viwanda Zanzibar na kuajiri wananchi huko.
..la pili, binafsi ningefurahi sana kama Bakhresa angesaidia katika ujenzi wa shule,zahanati,miradi maji, utunzaji misitu na vyanzo vya maji etc.
..ninachozungumzia mimi ni Bakhresa kuwapa wananchi wenzake "ndowana" wavue, siyo "samaki" wale.
..la kwanza, ingependeza kama angefungua viwanda Zanzibar na kuajiri wananchi huko.
..la pili, binafsi ningefurahi sana kama Bakhresa angesaidia katika ujenzi wa shule,zahanati,miradi maji, utunzaji misitu na vyanzo vya maji etc.