Bak upo wapi nikuone,roho yangu itulie?

Bak upo wapi nikuone,roho yangu itulie?

Chezeya bidhaa adimu Babu Dark City!!! Naringaje na jina langu jipya!!! BAK aka LIFE SAVER 🙂🙂

Kumbe BAK ameshakuwa bidhaa adimu kama enzi za dula la ushirika la kijiji??

Haya bwana....

Mie nilipita kusalimia...ngoja niendelee na kikao cha jopo la kuokoa uhai wa mwanamume mwenzetu na swahiba wangu Mr Mbu...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Alichosema mtoa mada ni kweli kabisa BAK is real kwa kweli.

Hongera sana you deserve.
 
Last edited by a moderator:
BAK Ooh mimi sina bahati, ona sasa ushindwe mwenyewe!. Shauri yako wenzako tunakesha kuzipata ngekewa kama hizi lakini hola!.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Nilijua utachonga tu,hujambo lakini konnie?

Usinisalimie hadi umrudishe huyo hg Mamndenyi kwao

ha ha ha ha ha ha!!!!!!! mimi ingekuwa kama party ya kimya kimya,,,,,,,, siunaona humu mashabiki wanakuwa na nguvu kuliko walengwa wenyewe.
ila nitanenepaje siku hiyo.

cc; Kongosho , snowhite , BAK
as, umeona BAk anavyouma vijiti? FUll maaibu
Bora tumshereheshee sie

Bishanga huoni wivu? Maana nnavyokujua ndugu yangu wewe kwa majilasi!
Bishanga kigagula asiyejielewa

adhabu yako sikuandikii verseili ili iku nyingine usirudie kumsololesha mtu mbele yangu!
cc Kongosho

Tena wee ninakutenga
Unawapa watu verse za ukweli hadi wanakwapua malighafi mbele ya macho yangu?
 
Last edited by a moderator:
Usinisalimie hadi umrudishe huyo hg Mamndenyi kwao


as, umeona BAk anavyouma vijiti? FUll maaibu
Bora tumshereheshee sie


Bishanga kigagula asiyejielewa



Tena wee ninakutenga
Unawapa watu verse za ukweli hadi wanakwapua malighafi mbele ya macho yangu
?

hahahahhahhhah mi na wewe!tumeanza lini kutengana!?
hatujakutana barabarani wala hatutaachana njia panda!
lol!
 
Kukataliwa kubaya mwacheni ababaiikeee
Kukataliwa kubaya mwacheni ababaike tililililili
Ajifanya mshikaji kutaka mambo kwa puuupa
Afifanya mshkaji kutaka mambo kwa pupa tilililili

Na nguo hizi si zakoooo
Na viatu ni vya wiiiiziiiiii

BAK anayenyonyeshwa na Kongosho ni Bishanga, anamnyonyeshaje wewe na mimi hatujui;
pengine wakifunguka wataweza kusema hata kidogo tu.
 
basi nimekusamehe,kukuona wakosa la kusema hiv kwangu mie ni muhali!
Nilijua una moyo, wa upole na kusamehe,
Sio wa kisasi na kujiua, kama ndugu zangu wahehe,
Nilikuwa nipo tayari, kumuona kasisi na hata shehe,
Kwa busara kwa waje, Ili unisamehe,
 
Nilijua una moyo, wa upole na kusamehe,
Sio wa kisasi na kujiua, kama ndugu zangu wahehe,
Nilikuwa nipo tayari, kumuona kasisi na hata shehe,
Kwa busara kwa waje, Ili unisamehe,
yangu mie nae wewe,twayamaliza upenuni
si kasisi wala shehe ,ajuaye ya moyoni
rahazo siachi kwa kelele,za Kongosho jukwaani
kisasi sifanyi na moyo,adhabu nijipe ya nini?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom