Bajeti ya Wizara ya Viwanda ieleze itakavyosaidia wazawa na wazalishaji wa ndani wanaoteseka kwa kodi

Mnumbula

New Member
Mar 6, 2024
2
2
Bajeti ya wizara ya viwanda ieleze itakavyosaidia wazawa na wazalishaji wa ndani, kuna wanasiasa wanaingiza baadhi ya bidhaa hazinakodi na zile zinazozarisha ndani ya nchi wanatozwa kodi kubwa kupelekea bidhaa zao kushindwa kushindana sokoni na kisha viwanda kufungwa na kukosa ajira kwa watu wetu.

Bidhaa zinazozalishwa nje ya nchi na ndani zipo ziwekewe kodi kupunguza mwanya wa wanasiasa kuingiza bidhaa zao, hii inaua viwanda vya ndani na hakuna wakulisemea hili.
 
Kwanza lazima iwepo sera na mipango ya kuhakikisha Watanzania wanao fanya Kazi viwandani wawe na masla bora na mazingira salama ya kufanyia Kazi.Inasikitisha sana kuona kuna utumwa kwa Watanzania wengi uko kwenye viwanda vya Wachina, Waarabu na Wahindi.
 
Back
Top Bottom