kuna jamaa yangu zamu yake ya kucheza pool table ikifika lazma atupie kiroba. et ndo inamsaidia kulenga. hafu hachanganyagi ata na xoda. kavkav tu.
Hata Members humu baadhi ni wahanga wa viroba tayari lakini watavungavunga
jaribuni kuandika mambo yanayoeleweka. Xoda=?, kavkav=?
Bia!, hata iuzwe elfu kumi. Mimi nitakunywa tu. Bora watoto walale na njaa lakini mimi na kinywaji damdam.
ulichokisema ni kweli viroba ndio vipo kwenye to ten kwa sasa na huku kaskazini kuna pombe inaitwa banana wine na kimorali vijana wanakunywa sana akiwa na 1100 anapata banana 2 na kiroba cha jogoo wao wanasema kala ndizi kuku vijijini siku hizi ikifika saa nne kama kaburi halijachimbwa huwezi pata kijana mwenye nguvu kwa ajili ya ulevi
yaa, hata mie nahic. mtu anamaliza kuweka thread kuhusu viroba, hafu anapoza koo kwa kiroba.
Yaani mtaona wenyewe hali isivyo shwari. watu maofisini Hangover hazitoki kuanzia asubuhi mpaka saa12 jioni....ukifuatilia walikunywa viroba au pombe kali sana ambayo inauzwa bei rahisi
Haha ha ha aha, Ta Muganyizi bana, wewe si ndiye mpenzi namba 1 kabisa? Lakini hoja yako ni nzuri. Nafikiri wokovu wa kuacha pombe unahitajika, japo hata maji na soda ni bei aghari, mf. jana nimenunua maji chupa ndogo kwa shs 700. soda ni shs 700.
Kwa hoja yako, viroba bao ni nafuu hata kwa maji na soda! Tuache kunywe soft na hadi drinks, matokeo ni.....Drs wanafahamu!!
Hivi ni lazima kunywa?
Nyie ndo mnasababisha sirikali ishindwe kutafuta vyanzo vingine vya mapato.
Siri hii wanaijua serikali..........kama sio lazima kunywa mbona kwa sasa Dodoma wanaongoza kwa kuuza bia. Hasa muda huu wa bunge? Sehemu kubwa za posho za wabunge zinaishia kwenye bia.
hapo serikali ni kama vile inatuambia acheni pombe mue wacha mungu...
hv sisi watz tukiacha kunywa pombe serikali itaweza kujiendesha?