Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Kulingana na serikali ya Tanzania kusoma bajeti ambayo kwa kiasi kikubwa inategemea pombe,,yaaani ulabu wakakti maisha ya Wtanzania yakizidi kuwa magumu, wananchi wa tanzania sehemu nyingi waesema wao wanaacha kunywa bia na wanahamia kwenye viroba ambavyo bei yake ni nafuu lakini vinalewesha haraka. Viroba hivi ni vile vyenye muundo wa kikonyagikonyagi.........na vingine ni vya bandia ambapo wajanja wanajaza gongo........nakuwauzia wananchi. Viroba hivi vina madhara mengi kwa afya. Hili ndo litakuwa kimbilio la Mtanzania anyetumia pombe lakini ambaye hana fedha ya kumudu pombe isiyo na madhara mwilini. Kwa nini wale Barick wasibanwe badala la kuacha mashimo tu kwa Watanzania?
Hiki ni moja ya tegemeo
la pato la taifa
Pamoja na hayo............kwa walioko maeneo ya mipakani pombe zinatarajiwa kunywewa kwa wingi ambazo ni aina ya viroba zimeshapigwa marufuku nchini zinamotengenezwa lakini kwa tanzania bado vina soko mfano angalia hapa chini
[h=1]Uganda: Poisonous Alcoholic Brands Banned, Leaving 30 Dead[/h]
The banned illegal liquors as Empire Waragi, African Gin, Princes Vodka, Planet Vodka and Rwenzori Gin. Another brand, 3R Zed, is also being investigated.
Dr. Joseph Senzoga, the disease surveillance response coordinator observed that, They may have taken drinks containing methyl alcohol, a deadly poison, he says. Methyl alcohol is a poisonous chemical found in paint remover.
Before death, the individual develops the following symptoms: loss of vision, headache, vomiting, diarrhoea, drowsiness, body weakness and coma. (Source : Uganda: Poisonous Alcoholic Brands Banned, Leaving 30 Dead)
Ushahidi mwingine huu (Standard Digital : Killer Ugandan drink popular among Kenyans despite ban)
Report za vifo kutokana na matumizi ya viroba kwa wingi yameripotiwa mara nyingi katika nchi za wenzetu ambao walishajichokea zamani. Sasa ni zamu ya Tanzania. Bia zitapanda na mzuka wote utamalizwa na viroba hata vile vinavyoweza kutuua. Na kwa sasa fanyeni kufuatilia kwenye baa nyingi mtakuta Kitu konyagi kwa sasa inafunika. Kule Kagera vipo viroba ambavyo ni marufuku kunywewa
na wananchi lakini ndivyo vinaongoza kwa kunywewa. Vinaitwa Empire, vingine Vodka, Vingine Lord, ni vikali ajabu. Kiroba kikubwa kweli lakini kinauzwa jero tu. Ukinywa viwili unaweza ukapotea njia usiende kwako.Watanzania tusubirie mengi.
Hiki ni moja ya tegemeo
la pato la taifa
Pamoja na hayo............kwa walioko maeneo ya mipakani pombe zinatarajiwa kunywewa kwa wingi ambazo ni aina ya viroba zimeshapigwa marufuku nchini zinamotengenezwa lakini kwa tanzania bado vina soko mfano angalia hapa chini
[h=1]Uganda: Poisonous Alcoholic Brands Banned, Leaving 30 Dead[/h]
The banned illegal liquors as Empire Waragi, African Gin, Princes Vodka, Planet Vodka and Rwenzori Gin. Another brand, 3R Zed, is also being investigated.
Dr. Joseph Senzoga, the disease surveillance response coordinator observed that, They may have taken drinks containing methyl alcohol, a deadly poison, he says. Methyl alcohol is a poisonous chemical found in paint remover.
Before death, the individual develops the following symptoms: loss of vision, headache, vomiting, diarrhoea, drowsiness, body weakness and coma. (Source : Uganda: Poisonous Alcoholic Brands Banned, Leaving 30 Dead)
Ushahidi mwingine huu (Standard Digital : Killer Ugandan drink popular among Kenyans despite ban)
Report za vifo kutokana na matumizi ya viroba kwa wingi yameripotiwa mara nyingi katika nchi za wenzetu ambao walishajichokea zamani. Sasa ni zamu ya Tanzania. Bia zitapanda na mzuka wote utamalizwa na viroba hata vile vinavyoweza kutuua. Na kwa sasa fanyeni kufuatilia kwenye baa nyingi mtakuta Kitu konyagi kwa sasa inafunika. Kule Kagera vipo viroba ambavyo ni marufuku kunywewa
na wananchi lakini ndivyo vinaongoza kwa kunywewa. Vinaitwa Empire, vingine Vodka, Vingine Lord, ni vikali ajabu. Kiroba kikubwa kweli lakini kinauzwa jero tu. Ukinywa viwili unaweza ukapotea njia usiende kwako.Watanzania tusubirie mengi.