Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Kwanza niisifu bajeti ya Jana kwa sababu Tu inaenda kuniongezea Ka mshahara kangu angalau kwa sh. 100,000.
Msishangae eti nasifia bajeti "Binadamu asili yake ni ubinafsi, siku zote husifia pale kwenye maslahi yake Tu" Ndo tulivo binadamu.
Nikienda kwenye mada ya bajeti ya Jana, kuna Jambo ambalo nimeliona na ninahisi linaweza kupelekea bajeti hii ambayo watu dizaini wanaiona ni nzuri isiweze kutekelezeka.
Kuna hili swala la kudorora kwa demokrasia na hali ya kisiasa nchini kwenye huu utawala wa Magufuli. Ukiangalia kwa Malini Sana, Tanzania kwa sasa haipo kwenye good terms na viranja wa dunia kama US, EU, Scandinavian Countries na UK.
Hili Jambo linaweza kutupeleka pabaya Sana watanzania. Kwa sababu hizo nchi zina historia ya kutoa misaada kwa Tanzania, tusijidanganye kabisa, Tanzania hatupo self sufficient.
Nnachohisi ni kwamba huko mbeleni, miezi michache ijayo kwa hali inavokwenda, Tanzania dizani itasusiwa na hao mabepari. Na hii moja kwa moja itaenda kuathiri mapato ambayo serikali imepanga kuyapata kutokana na mikopo na misaada.
Tukifikia hapo inaonekana kuna dalili utekelezaji wa hii bajeti utakuwa dhaifu kwa sababu bajeti haiwezi kutekelezwa bila pesa. Na ki ukweli kabisa serikali ya Magufuli ina crisis ya Cashflow. Cashflow ipo tight Sana hatuwezi ku survive bila misaada ya Mabepari wa nje.
Nadhani Jana prof mpango alisema Meno kwamba Tanzania ipo kwenye vita vya kiuchumi, utakuwa kuna action zimeshaanza kuonekana
Na haya ndio mojawapo ya madhara makubwa ya kudorora kwa mazingira ya demokrasia nchini.
Inawezekana kuna mengi Sana yanakuja. Huu uchaguzi wa mwaka huu ndio turning point ya kubadilisha mwenendo wa nchi yetu.
Msishangae eti nasifia bajeti "Binadamu asili yake ni ubinafsi, siku zote husifia pale kwenye maslahi yake Tu" Ndo tulivo binadamu.
Nikienda kwenye mada ya bajeti ya Jana, kuna Jambo ambalo nimeliona na ninahisi linaweza kupelekea bajeti hii ambayo watu dizaini wanaiona ni nzuri isiweze kutekelezeka.
Kuna hili swala la kudorora kwa demokrasia na hali ya kisiasa nchini kwenye huu utawala wa Magufuli. Ukiangalia kwa Malini Sana, Tanzania kwa sasa haipo kwenye good terms na viranja wa dunia kama US, EU, Scandinavian Countries na UK.
Hili Jambo linaweza kutupeleka pabaya Sana watanzania. Kwa sababu hizo nchi zina historia ya kutoa misaada kwa Tanzania, tusijidanganye kabisa, Tanzania hatupo self sufficient.
Nnachohisi ni kwamba huko mbeleni, miezi michache ijayo kwa hali inavokwenda, Tanzania dizani itasusiwa na hao mabepari. Na hii moja kwa moja itaenda kuathiri mapato ambayo serikali imepanga kuyapata kutokana na mikopo na misaada.
Tukifikia hapo inaonekana kuna dalili utekelezaji wa hii bajeti utakuwa dhaifu kwa sababu bajeti haiwezi kutekelezwa bila pesa. Na ki ukweli kabisa serikali ya Magufuli ina crisis ya Cashflow. Cashflow ipo tight Sana hatuwezi ku survive bila misaada ya Mabepari wa nje.
Nadhani Jana prof mpango alisema Meno kwamba Tanzania ipo kwenye vita vya kiuchumi, utakuwa kuna action zimeshaanza kuonekana
Na haya ndio mojawapo ya madhara makubwa ya kudorora kwa mazingira ya demokrasia nchini.
Inawezekana kuna mengi Sana yanakuja. Huu uchaguzi wa mwaka huu ndio turning point ya kubadilisha mwenendo wa nchi yetu.