Bajeti sasa yamtegemea Lady Jay Dee


Usiumize kichwa mkuu huyo anajulikana ni king'ang'anizi balaa
 
hawa mawaziri wangekuwa kila siku wanapigwa aswali ya papo kwa papo ingekuwa balaaa....maana hata lukuvi jana alipaka rangi upepo kwakusema eti tsh. million 2 ni kwa ajili ya kukarabati madaraja na barabara zilizoko nyumbani kwa waziri mkuu........upuuzi wa mwaka
 
Kama ni Mil.2 Lukuvi asiumize kichwa anitafute nitafadhili hiyo project kwa 100%.
 
Poor planning, poor budgeting, poor thinking, and hasty generalizations.
 
yaani kuwasikiliza hao mawaziri ni kujitafutia hasira tu
unaweza ukashindwa kula bure...

me ukinikuta naangalia bunge maranyingi ni ilitu niwe current sio et ii nipate faraja
kutokana na mipango mizuri ya serikali kumkomboa mmbogo wa kawaida.
hua naishia kukasirikatu.
 
Mmh nina wasiwasi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo,watt km nyie hata mkipewa assignment ndogo tu mnashiwa ni sawa na shabiki wa mpira anavyomkosoa mchezaj akiwa uwanjan angal yy hajaw cheza hata mechi ya utoton

Inawezekama uko sahihi, maana hata post yako nimeshindwa kuilewa kama ulikua unachangia kuhusu nini
 
Poor minded! Usiwe kama juha! Thamini cha nyumbani!
Ukiambiwa mawazo yako yanafanana na avatar yako unakua mkali,jitahidi siku moja moja kuongea point,sio kila siku pumba tu
 
Inawezekama uko sahihi, maana hata post yako nimeshindwa kuilewa kama ulikua unachangia kuhusu nini
naanza kuhofia umeandikiwa mpaka unasahau watu wanachangia nn au unataka utafuniwe kila kitu vingine usome kisha tafakar
 
Dr Haji ana masihara sijapata ona kweli Hospitali ya rufaa imeshajengwa theatre bila mawodi hao wagonjwa wakishapasuliwa watahudumiwa wapi au kabla ya kupasuliwa utayarishwaji wao utafanyika wapi
Waziry wa Tamisemi (naibu) Aggrey alisema hospiayali ya wilaya ikijengwa na kukamilika si chini ya bilioni 9 sasa itakuwa hospitali ya rufaa inapangiwa shilingi milioni miamoja kweli
Waziri wa afya aache kucheza kiduku kutegemea lady JD na wacheza rap kutoka marekani ndio wajenge hospitali kubwa kama hiyo angesema darasa hapo tungeelewa
 
Mbona hata Marekani wanawatumia wanamuziki wenye majina kufanya fund rising? Tuacheni unazi wa kijinga
Bila shaka wewe utakuwa ni mjukuu wa matonya,aliekuwa omba omba maarufu.
 
Mbona hata Marekani wanawatumia wanamuziki wenye majina kufanya fund rising? Tuacheni unazi wa kijinga

Mabata mengine hayafai hata kula.....yanajiharishia tu!!!
 
Mtakufa navyo vijiba vya roho, fund raising itafanywa na nyie bakini na pumba tu hapa.
 

Ujenzi ulianza kabla jd hajazaliwa, na sasa ndo anategemewa aukamilishe....Naona kama watanzania tumerogwa kuongozwa na mazuzu wa aina hii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…