kwa kweli mi siungi mkono, kwa sababu nyingi tu mojawapo ni kuwa madereva wake sio competent drivers, ndo maana kila inapotokea tatizo wanakuwa wa kwanza kukimbia polisi hata kama makosa sio yao. hivyo sidhani kama wana qualify kuendesha highway.
hata kwa wale waliotembelea nchi ambazo bajaj zimeshika hatamu, bado haziruhusiwi sio tu kwenye highway bali hata kwenye barabara fulanifulani kama vile zinazoelekea airport au airport kwenyewe. hii sio tu kwa sababu ni mbaya kuzitazama lakini ni kwa sababu ya uwezo wake mkubwa uliokuwa nao wa kupolute mazingira ya barabarani kama zikiruhusiwa.
mi nadhani bajaj ziendelee kuwa barabara za uswahilini kwa sababu hata speed yake haitarishi waendao kwa miguu