ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Miaka ya 1990s, TANZANIA ilikuwa inazalisha baiskeli ambazo zilinunuliwa sana na watanzania. baada ya mda zilipotea kwenye soko. mwenye kumbukumbu atujulishe yafuatayo.
1. Kiwanda chake kilikuwa wapi?
2. Kiwanda kilifisika vipi wakati walikuwa wanauza? baba yangu mdogo aliinunua baiskeli ya swala, nimeitumia, usukani wake ulikuwa bomba sana.
3. Mkurugenzi wa mwisho wa kiwanda kile ni nani na yuko wapi?
4. kiwanda kilifunguliwa mwaka gani na kilifungwa mwaka gani.
kwa wenye majibu ya kiwanda hiki watujuze sie tuliozaliwa 1980s na hawa kizazi cha mabadiliko ya kisiasa 1990s
1. Kiwanda chake kilikuwa wapi?
2. Kiwanda kilifisika vipi wakati walikuwa wanauza? baba yangu mdogo aliinunua baiskeli ya swala, nimeitumia, usukani wake ulikuwa bomba sana.
3. Mkurugenzi wa mwisho wa kiwanda kile ni nani na yuko wapi?
4. kiwanda kilifunguliwa mwaka gani na kilifungwa mwaka gani.
kwa wenye majibu ya kiwanda hiki watujuze sie tuliozaliwa 1980s na hawa kizazi cha mabadiliko ya kisiasa 1990s