hozev_tarimo
Member
- Dec 22, 2017
- 15
- 4
Samahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi?
Huenda PBZ Bank wana exchange hizo pesa. Maana wao wana mahusiano ya karibu sana na akina KaboosSamahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi 0688890887.View attachment 2745222
Nime enda exchange jana Kariako na bank ya Azania wamesema hawa exchange Baisaa sehem mbili wamekataaa ndio nashangaaaBanks Tele Unabadilisha, Wewe Upo Wapi?
Ngara , Zanka, Mtipweshi, Chitoholi Ama
Kuwa serious na hitaji msaada broHuenda PBZ Bank wana exchange hizo pesa. Maana wao wana mahusiano ya karibu sana na akina Kaboos
Elewa swali uliza swali.. Ukianza kuliza nimepata wapi haisaidii.umeipata wapi
?? jibu lipi hapoKeyword .Oman. Nje ya mada hivi oman na dubai si zipo karibu kijiografia?
Ts 6510000 ndo maana hawatakiSamahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi 0688890887.View attachment 2745222
Ts 651000Samahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi 0688890887.View attachment 2745222
kwa nini hawataki..?
ndio ya oman Baisa nafanyajee.?Kwa uzoefu wangu, nibela ya Oman ndio Huwa inakubaliwa Burue de Change
Nina assume unatania., Ila;Samahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi 0688890887.View attachment 2745222
na exchange wapii.??Nina assume unatania., Ila;
Oman Baissa 1000 = Oman Ryal 1
Omani Riyal 1 = Tsh 6,500
Baissa 100 = Tsh 6.5
niko na baisa 100 jombaa inakataliwaaa ndio maana nashangaa ni sawa na laki 6 na 50na exchange wapii.??
Hiyo hela kwa hapa bongo hawachukui hata uwe nazo kumi ambapo itakua sawa riali moja bado hawataki kiufupi hawachukui hivyo sent sent wanaanzia riali kamiliSamahani wadau mimi na Baisa 100 ya Oman jee ni wapi naweza exchange Nime endaa badhi ya exchange za Tanzania zinakataa nafanya vipi 0688890887.View attachment 2745222
Wamekudanganya waliokwambia thamani hiyo.niko na baisa 100 jombaa inakataliwaaa ndio maana nashangaa ni sawa na laki 6 na 50