TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,436
- 3,554
baisa ni hela ndogo sana akae nayo ndani tu,kule oman wanatumia kuwaawadia wa afrika kipindi cha sikukuu pamoja na watotoWamekudanganya waliokwambia thamani hiyo.
100 blBaisa ni Sawa na Shillingi 6 na senti 50.
Baisa zikiwa 1,000 (elfu moja) yaani hizo noti za 100 ziwe 10. Ndiyo shillingi 6,500 (elfu sita na mia tano).
hununui hata Kashata kwa Mgosi... ndo manake nlitaka useme umeipata wapi hela ndogo namna hiyo?

mitanganyika