Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,542
- 6,491
- Thread starter
- #41
Ni kweli mkuuPesa zitoke kwa sababu za msingi na zenye mashiko.
Huwezi kuwa umeajiriwa alafu unaomba vihela fulani hivi.
Wewe mshahara wako unafanyia nini.
Ni kweli mkuuPesa zitoke kwa sababu za msingi na zenye mashiko.
Huwezi kuwa umeajiriwa alafu unaomba vihela fulani hivi.
Wewe mshahara wako unafanyia nini.
Bado mkuu hata kiwanja sinaVipi umeweza kujenga nyumba mkuu
Timiza malengo kwanza. Sisi wazee wetu wamekaa Manzese enzi hizo wameshindwa kumiliki viwanja wameendekeza qyuma tu .Kazi ninayo mkuu shida nina malengo mapana kiac kwamba nikiingiza hizi mambo za madem naona wananitoa kwenye focus yangu shida ni upwiru sasa
Mkuu kujipata bado halafu nina malengo makubwa mno kiac kwamba mimi mwenyewe naona pesa ainitoshi japo sina kipato kibaya sana kukunja 30k mpaka 60k kwa siku ni kawaida but nahisi malengo niliyonayo ndio yananifanya nione pesa ainitoshiMkuu,
Huenda kipato chako bado hakikutoshi na hakiwezi kutosha ntu wa pili, huo sio ubahili. Ni uwezo mdogo tu, hivyo unajiuliza namna gani unaweza kutoa wakati wewe mwenyewe hujajipata.
Bahili ni yule anacho na kutoa hataki/hawezi kwa namna yoyote ile.
Jitathmini kwanza kama ni ubahili au uwezo mdogo. Ukipata jibu karibu chama cha mabahili Tanzania.
Sawa mkuu nimekuelewaTimiza malengo kwanza. Sisi wazee wetu wamekaa Manzese enzi hizo wameshindwa kumiliki viwanja wameendekeza qyuma tu .
Kama ni upwiru tafuta mademu wa kitaa wale unawamudu . Dogo kamaliza form 4 dandia huyo
Sasa mbona kama ubahili haujakusaidia mkuuBado mkuu hata kiwanja sina
Wewe ni kabila gani mkuu?(samahani kwa swali la namna hiyo)Mkuu kujipata bado halafu nina malengo makubwa mno kiac kwamba mimi mwenyewe naona pesa ainitoshi japo sina kipato kibaya sana kukunja 30k mpaka 60k kwa siku ni kawaida but nahisi malengo niliyonayo ndio yananifanya nione pesa ainitoshi
ajira nimeipata mwaka jana tuSasa mbona kama ubahili haujakusaidia mkuu
Aaah hapo Sasa jitahidi ujenge afu ukimaliza anza kuhongaajira nimeipata mwaka jana tu
Nahisi hapa ndo ulipokosea, huyu huenda ni mke. Wadada wengine anakuomba hela na shoo hakupi Melancholickama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa
In natureNani kasema wanaume tumeumbwa kutoa.
😄😄😄😄😄😄
Mkuu kama yule kichaa wangu nadhani yupo hivyo show anatoa kwa kujiskia juz kaniomba 60k nikamwambia njoo home nitakupa kachomoaNahisi hapa ndo ulipokosea, huyu huenda ni mke. Wadada wengine anakuomba hela na shoo hakupi Melancholic
Sawa mkuu na vp kuhusu upwiru?Tafuta hela kwanza ukishazipata,ndiyo uingie kwenye mapenzi.
Hapana mkuuSamahani.
Kwani we mtoa maada ni mpare
Mkuu halafu huyo dem ana nyash sio mchezo yani ni noma sema sura ya baba but yupo vzr kitabiaNahisi hapa ndo ulipokosea, huyu huenda ni mke. Wadada wengine anakuomba hela na shoo hakupi Melancholic