Bahati ya mwaka, nyumba inauzwa

Bahati ya mwaka, nyumba inauzwa

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
975
Reaction score
1,356
Habari wana JF.
Milioni 18 tu unapata nyumba ya vyumba 3 na sebure maji yapo umeme ni kuvuta tu . Location ni Saku mwisho karibu na mwanagati Dar es salaam HAKUNA UDALALI.

Hivyo basi.
∆ Kama ukipangisha ✓

∆ Kama utageuza kuwa sehemu ya ufugaji ✓.

∆ Kama utahitaji kuishi ✓

NOTE : muuzaji ni Babu Hana simu kubwa ya kupiga picha hivyo kanipigia simu kaniomba nimsaidie kuwaeleza wadau wangu wa karibu pia Kama mtu atahitaji kwende kuitazama ni BURE hakuna udalali karibuni.
 
NOTE : muuzaji ni Babu Hana simu kubwa ya kupiga picha hivyo kaniomba nimsaidie kuwaeleza wadau wangu wa karibu pia Kama mtu atahitaji kwende kuitazama ni BURE hakuna udalali karibuni.

Hata ww umekosa simu ya kupiga picha ila umepata simu ya kuleta mada humu JF 🔥

GSWg3R.gif
 
Back
Top Bottom