Bahati nasibu

Bahati nasibu

Juu juu juu zaidiiiiiiiiiiiii
Endelea kujaribu hivyo hivyo ipo siku utabahatika...

Yaani unaendelea kumpa moyo tu! Wkt keshadiklea amechemsha?
Ilipofika ni kumpa m'badala!
Mf. Waweza muadvaisi apumzike na kamari!
Probably kama alikwisha bahatika kubarikiwa kanyama kasteki kasikokua na mfupa! Basi kamtoshe hako!
 
Mmmmhhhh.... kwa hiyo unasaidiwa kuleaaa???? Au ndio mume mwenza????

We CL vipi weweee? mbona unaleta makwesheni maswali lukukiii....?? Tulia bhana , kuna wambea wataanza kuleta kwere hapa...
 
Umeyahesabu
sema weye ni mangapi yalonikuta.

Na hiyo ya kudipu kila leo na njia ingine ndo
inanipa tabu ujue,
halafu kama huna hata ile ya tafadhali nipigie
ni noma ujue.

Yakikukuta unaogopa nini?? yamekukuta mangapi bhana hadi ujifanye muoga leo?? Afu nimeku DIPU hujanipigia...
 
Yaani unaendelea kumpa moyo tu! Wkt keshadiklea amechemsha?
Ilipofika ni kumpa m'badala!
Mf. Waweza muadvaisi apumzike na kamari!
Probably kama alikwisha bahatika kubarikiwa kanyama kasteki kasikokua na mfupa! Basi kamtoshe hako!
Nawe kila siku unatupa mgongo,ebu geuka tuykuone!!
 
Hiyo juuuuu sasa ndo inanipa tabu
kwa kuwa sijajua ni juuuu kabisa ya nini

Kwani una maana juu ya nini kwani.

Nina maana juu ya above!
Unasema unahofu ukipanda, tabu kushuka eti ?
Sie watu wazima si tupo banaa! Kwea tu! Tutakushusha.
 
Juu juu.....juu zaidi......hivi mada inahusu nini vile.
 
Mie nataka ugeuke nione watu watakavyotoka nduki humu

Mbona unajikontradikti? Unataka ww uone mbele ? Au unataka uone watu wanavyokimbia? Which one u nid out of them?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom