Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,185
- Thread starter
- #21
Tunafumbwa macho na starehe za mda mfupi na kusahau maisha ya mbele ambayo ni marefu na yanahitaji tumaini la jana. Kamkosea sana Mungu watoto 6? Akatubu halafu amlilie sana Mungu!
^^
Uzao mkubwa ambao ungekuwa zaidi,,ila kwa sasa ile hali ya toba imejaa ktk kauli zake.
^^