Baharia

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Feb 21, 2011
563
98
Utofauti wake wa mwendo ulimfanya baba ake amuulize...
baba: Mbona unatembea ivo kama unayumbayumba
baharia: Unajua baba, nimefanya kazi muda mrefu ktk meli na kule kuna mawimbi, kwaiyo kule siwezi kutembea sawa sawa, kwaiyo ndiyo nimeshazoea kutembea kama nipo kule
baba: Mbona mimi mama ako ninalala naye mwaka wa 35 na nikitembea sikati viuno??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom