Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,244
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.