Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
Ni hatua njema. Tumemaliza kujenga mji mpya wa kigamboni. Nguvu tunazielekeza bagamoyo.
Hata Tanzania kuna Dar ES Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya, Tanga zote "Cities" hizo lakini Capital ipo Dodoma "Town".
Ni hatua njema. Tumemaliza kujenga mji mpya wa kigamboni. Nguvu tunazielekeza bagamoyo.
Kuwe kuna mji kama huo kwenye ramani halafu makao makuu ya mkoa yawe Kibaha?
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Kutakuwa na mkoa wa Bagamoyo na mkoa wa Kibaha, hiyo kitu ya mkoa wa Pwani itakufa siku so nyingi.
wakuu viwanja Bagamoyo bado vinapatikana?
Hekari moja napata kwa bei gani?
Kwa anayefahamu tafadhali,.
Umechelewa mkuu,karibu na hiyo bandari ya kifikirika maeneo hayashikiki
0 kabisaBandari
Kuna Las Vegas, Los Angeles, Atlanta, New York.............
Ila Makao Makuu ni Shamba kabisa, WASHINGTON DC.
Kuna Istanbul kaali, ila Capital City ni ANKARA.
Unaongea nini wewe? hata Tanzania capital ni Dodoma, si jiji ni mji.
Lakini hapa hatuongelei "capital" tunaongelea makao makuu ya mkoa. Sijui unaelewa au na wewe ndio katika wale wale mapunguani.
Unaijuwa Washington DC au unaisikia tu? unaiuwa Ankara au unaisikia tu? japo google kiduchu ujitazamie picha ya hiyo miji.
Kuiuwa Ankara ndiyo nini wewe? Hapa Punguani ni nani? Niiuwe Ankara mie?
Kuijuwa.