BAF YA MZUMBE VS BAF YA ARDHI and MUCCOBS

BAF YA MZUMBE VS BAF YA ARDHI and MUCCOBS

Muccobs ni wapi jamani ..?? Kipo wapi hicho chuo

Kipo moshi Mkuu wa kazi,jamaa wapo serious kishenzi na shule kama pacha wao SUA,kama unataka kujiweka usisite Mkuu nenda kapige shule tena kozi yoyote ile sio A/c tu
 
Mi wasomi wa leo nawashangaa sana Objectivity hakuna kabsa katika kutoa hoja hasa linapokuja swala la vyuo. KIMSING ushaur wangu kwa mleta mada kwanza masomo ya account unauzka pale unapokuwa na CPA irespective of chuo ulichosoma.Kwa msingi huo nataka watoa hoja watumie idadi ya wanachuo wanaochomoa CpA Zaid kama mojawapo ya vigezo vya ubora kuliko majina tu
 
Nachojua kila BAF iliyotajwa hapo juu ina maelezo zaidi na malengo tofauti ingawa zina ufanano angalia choice yako, kama ni Mzumbe kuna BAF mbili kama sikosei tofauti ,muccobs moja na Ardhi moja, . Usibabaishwe na wingi wa masomo au ukubwa wa passmark angalia result ya kuchukuwa moja ya hizo course.
 
Unless am getting old hivi kusoma kozi hiyo mzumbe ama muccobs ama ardhi kuna tofauti gani??
Je uzuri ni wa chuo kipi ama msomaji mwenyewe??

I dont think kama kusema eti nimesoma ualimu udsm niko bora kuliko aliayesoma ualimu ruco sidhan kaa nitakuwa sahihi kwani najua courses ni zile zile ishu hapo ni ufundishwaji na uwezo wa mwanafunzi kugrasp.

So far kwenye ajira hakuajiri kwasababu eti umesoma muccobs ama mzumbe wao wanataka cheti kutoka chuo kinachokubalika cha tz and for that case ukiwa na cheti kizuri toka chuo chochote kilichokubalika ni wazi kwamba utapata ajira.

Nawashangaa sana nyie vijana mnaoshida hapa kubishana chuo gani bora gani kizuri wakati uzuri ama ubora wa chuo unapimwa na wewe mwenyewe msomaji na wala sio chuo. So far kwa tz sijawah kuona imetolewa international award ama sijui noble prize kwa msomi wa tanzania kwamba kazalishwa msomi bora kutoka chuo cha kitanzania hadi dunia ikamtambua......................poor minds.
 
Je kwa mzumbe wanchukua kuanzia gpa ngapi kwa m2 aliyesoma diploma ambae antaka kujiunga na degree hapo?
 
Mkuu wangu hidekel umenifilisi hoja yangu mchana kweupe.Finance na Accounting katika vyuo makini ni programme mbili zinazojitegemea kabisa.Ni ajabu sana kama si uzushi undergraduate course ya miaka 3 ucover units zote za Accounting na Finance ?.Nasema haiwezekani hata kidogo lazima kuna kufukia mashimo kwa baadhi ya masomo either finance inamwinywa kiasi fulani ili kumaliza units zote za Accounting ukisema Muccobs ni wazuri kuliko Mzumbe kwa kigezo cha ufaulu wa Course za CPA au ACCA maana yake ni kuwa units za Accounting zilipewa umuhimu mkubwa kuliko units za Finance na si vinginevyo.

Uwezekano wa kusoma Finance & Accounting upo level ya Postgraduate na si Undergaduate.



mi sipati picha kuhusu hii BAF,hivi mtu anweza kubobea kwenye Finance na Account kwenye first degree kwa wakati mmoja? Hii course naona kama iko general au vague sana ndo maana mlimani haipo
 
Last edited by a moderator:
Declaring interest...

I studied BAF ya mzumbe...BAF ya mzumbe is one of the Best...I remember nilingoa CPA bila hata ya reviews...walimu wa mwaka wetu walikua wazuri sana..akina Komba na mwasaliba! Na kadhalika...u want to win n do big things go Mzumbe! It will open ur eyes kwa vitu kama CPA,ACCA na hata CFA baadae! Sylabus ni nzuri sana! Ila sasa matokeo yako yawe mazuri..mwaka wetu darasa zima lilikua limejaa 1 mpaka za sita was mwisho! Kwa sasa sijui ikoje! But ushauri..mwingine..kama wewe ni kichwa haijalishi mzumbe,muccobs,udsm utafanikiwa tu na kufaulu ACCA,CPA na hata CFA
 
Declaring interest...

I studied BAF ya mzumbe...BAF ya mzumbe is one of the Best...I remember nilingoa CPA bila hata ya reviews...walimu wa mwaka wetu walikua wazuri sana..akina Komba na mwasaliba! Na kadhalika...u want to win n do big things go Mzumbe! It will open ur eyes kwa vitu kama CPA,ACCA na hata CFA baadae! Sylabus ni nzuri sana! Ila sasa matokeo yako yawe mazuri..mwaka wetu darasa zima lilikua limejaa 1 mpaka za sita was mwisho! Kwa sasa sijui ikoje! But ushauri..mwingine..kama wewe ni kichwa haijalishi mzumbe,muccobs,udsm utafanikiwa tu na kufaulu ACCA,CPA na hata CFA

Vizuri sana endeleeni na ushabiki wa vyou.Mwisho wa siku waajiri awangalii chuo ulicho maliza,wanangalia Competence ya mtu.Hata kama utasoma Open University mwisho wa siku uwelewa wako wa mambo ndio utakao kuuza.
 
wengi wanaochangia hapa hawajitambui! soma chuo chochote kile,siku hizi waajiri hawaangalii knowledge based wanaangalia competence yako!
natunapoelekea ajira ni ngumu kwa hiyo hakikisha unakuwa competent kwa kutumia maarifa uliyoyapata kujiajiri
 
Vizuri sana endeleeni na ushabiki wa vyou.Mwisho wa siku waajiri awangalii chuo ulicho maliza,wanangalia Competence ya mtu.Hata kama utasoma Open University mwisho wa siku uwelewa wako wa mambo ndio utakao kuuza.

Ndugu...kuna makampuni ili kuingia wanaangalia vyuo..competence comes baada ya kupata chance ya kuingia na kuprove that you are competent..kwa mfano..hata uwe kompitent kiasi gani mwenzako alosoma Havard na wewe ulosoma Mzumbe aud UDSM mkiweka magamba lazima upigwe chini..

I have worked with people from Havard,oxford na vyuo vingine duniani hawajatuzidi zaidi ya kiingereza na exposure kwa mbaaali..kinacho wabeba wenzetu ni magamba..so if you think gamba halisaidii try and soma Zoom Politeki au hivyo vyuo vingine vidogo vidogo ul see

And mungu anisamehe..kuna vyuo watu huwa wanaenda just kwa sababu wamekosa Udsm na Mzumbe..if you have a chance ya kwenda Mzumbe or Udsm just goooo and dont even think twice...#Nobraging
 
Ndugu...kuna makampuni ili kuingia wanaangalia vyuo..competence comes baada ya kupata chance ya kuingia na kuprove that you are competent..kwa mfano..hata uwe kompitent kiasi gani mwenzako alosoma Havard na wewe ulosoma Mzumbe aud UDSM mkiweka magamba lazima upigwe chini..

I have worked with people from Havard,oxford na vyuo vingine duniani hawajatuzidi zaidi ya kiingereza na exposure kwa mbaaali..kinacho wabeba wenzetu ni magamba..so if you think gamba halisaidii try and soma Zoom Politeki au hivyo vyuo vingine vidogo vidogo ul see

And mungu anisamehe..kuna vyuo watu huwa wanaenda just kwa sababu wamekosa Udsm na Mzumbe..if you have a chance ya kwenda Mzumbe or Udsm just goooo and dont even think twice...#Nobraging

mfano hai tu,hizi auditing firms kubwa zilizopo hapa tanzania,huwa hazichukui graduates waliotoka vyuo tofauti na udsm and Mzumbe.
 
Nakubaliana na mawazo yenu lakini hivyo vyuo vinaweza kuacomodate wanafunzi wote wanaotaka soma hizo course.Namshukuru Mungu sijasoma UDSM wala Mzumbe na nina kazi nzuri sana.Sina na utukufu namrudishia yeye,kama angeangalia binadamu tuangaliavyo watu wengi wangekosa kazi ambao awakupita vyuo tajwa.
 
Declaring interest...

I studied BAF ya mzumbe...BAF ya mzumbe is one of the Best...I remember nilingoa CPA bila hata ya reviews...walimu wa mwaka wetu walikua wazuri sana..akina Komba na mwasaliba! Na kadhalika...u want to win n do big things go Mzumbe! It will open ur eyes kwa vitu kama CPA,ACCA na hata CFA baadae! Sylabus ni nzuri sana! Ila sasa matokeo yako yawe mazuri..mwaka wetu darasa zima lilikua limejaa 1 mpaka za sita was mwisho! Kwa sasa sijui ikoje! But ushauri..mwingine..kama wewe ni kichwa haijalishi mzumbe,muccobs,udsm utafanikiwa tu na kufaulu ACCA,CPA na hata CFA

Ndugu nimesoma hge naweza pata BAF_PS ya mzumbe kwa matokeo haya
H=C, G=D, E=D Bam=S, G.s=S
 
Ndugu nimesoma hge naweza pata BAF_PS ya mzumbe kwa matokeo haya
H=C, G=D, E=D Bam=S, G.s=S

hiyo two ya 11 unapata bila ubishi,kuna jamaa mwakajana matokeo watu walifaulu kulko mwaka hu alipata two ya kumi yupo mzumbe
 
Je sisi wa diploma uwe na gpa ngapi cz nataka kwenda mzumbe bt my gpa ni 3.2 je inawezekana.
 
mi sipati picha kuhusu hii BAF,hivi mtu anweza kubobea kwenye Finance na Account kwenye first degree kwa wakati mmoja? Hii course naona kama iko general au vague sana ndo maana mlimani haipo

Ni kweli kabisa mkuu, hata mm nakuunga mkono, watu wanacheza na vichwa vya watu, nachojua Finance pekee ni pata shika, haiitaji hata kidogo nyongeza yeyote, Waiwezekeni hata kidogo Mtu ya BAF akawa competence upande wowote huo, lazima watakuwa na mapungufu tu.....
 
Back
Top Bottom