Bae niongezee hela ninunue S9+

Bae niongezee hela ninunue S9+

Juzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!

Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!

Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.

NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.

haahhhahhah mkuu umenifanya nimkumbuke ex wangu aseh duniani kuna mizigo ili huyu mwanamke hapana tangu nianze date nae hakuna siku amewahi nishauri nifanye jambo la msingi na akitaka kitu utasikia Bae naomba kitu flani yan amenifanya hata msichana mwingine akinita Bae sasa hivi nikumbuke machungu yake

huyu mwanamke hana story zaidi ya kutaka simu,kupelekwa out, photo shooting(hii ndo ilikuwa kali zaidi siku ya graduation yake) dah wanaume tumeumbwa mateso jamani
 
we acha tu!
its good kukua though!
the other day nimeona mvi moja kichwani!
nikasema ewaaaah ,taraaaaah!

Yaani maisha ya ujana yana pirika za ajabu...

Make kipindi kile nikiweka nadhiri ya kazi naishona hasa, naweka resources kabisa kwa ajili yake.

Siku hizi nafanya kama kujaribisha tu zinatick halafu nakataa mwenyewe, sema budget nazo zimebana kweli.

Maana ada za watoto ni shida... Na Makonda kakomaa hasa.
 
we acha tu!
its good kukua though!
the other day nimeona mvi moja kichwani!
nikasema ewaaaah ,taraaaaah!
Hahaha, hapo kwenye mvi hapo. Ukiona moja tu unaanza "ewaaa, uzee unaingia tartiiibu". Binafsi sizihesabu tena, nahisi i'm Lowasa in the making.
 
Hahaha, hapo kwenye mvi hapo. Ukiona moja tu unaanza "ewaaa, uzee unaingia tartiiibu". Binafsi sizihesabu tena, nahisi i'm Lowasa in the making.
Kama mpaka umri huo hazijajaa kichwa kizima basi wewe sio mamvi
 
Kawaida watu ambao hawajui kutafuta pesa, hawaoni huruma.

BTW Fanya kunikopesha hiyo nitakurudishia 3.
Huo mkopo ni 25% interest si ungeenda benki utapata kwa 22% or less
 
pearsons-300x156.gif

r=-1
Mbona mm inakuja r = 1235469856.44586
 
You people
When we say wife material, they are not a finished product. Neither are we. There thing we all need to unlearn and learn.
Take trouble to mold your partner, take trouble to mold yourself and move forward.

Hakuna mtu aliyezaliwa kama mke au kama Mume bali kuna mchakato wa kuwa Mke au Mume.
Tusaidiane kufanyika Mke au Mume bora. Tusitegeme kumkuta mtu kama mkamilifu there and then.

Inawezekana huyu dada hana shida ila ni wa kusaidia tu kwenye kuweka vipaumbele au kumsaidia kuepuka maisha ya mashindano au ya kupenda vya juu kulingana na hali ya wakati huo. Kikubwa saidianeni ninyi kwa ninyi kuwa bora.

Otherwise kutumia kakigezo kimoja kumhukumu mtu ni sawa na kujilisha upepo.
We are very complicated beings.
Mwanaume kaongea.
 
Back
Top Bottom