Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,390
- 88,766
Nilijua tu Rrondo lazima aseme mambo ya kudanga hapa



. Ngoja siku nimdange na yeyeNilijua tu Rrondo lazima aseme mambo ya kudanga hapa



. Ngoja siku nimdange na yeyeJuzi nimetumiwa msg na bae eti nimuongezee hela anunue S9+. Ikabidi nichungulie inauzwa bei gani OMG 2.3m! Yaani 2,300,000! Over a $1000!
Nikafikiria huyu Bae anakaa nyumba ya kupanga, kodi vile vile nanchangia na inawezekana tunachangia wengi, kweli hana cha maana cha kufanyia hio 2.3m!
Nikafikiria haraka haraka nini unnaweza kufanya na 2.3m
1.Unaweza kununua kiwanja. Kuna kampuni zinauza viwanja vilivyopimwa 5000/sqm anaweza kupata 1000sqm kwa 5m(hii kampuni unaweza kulipa nusu halafu iliobaki kidogokidogo kwa miezi sita)
2.Unaweza kununua matofali 2300 ambayo yanamaliza nyumba ya vyumba vitatu au viwili.
3.Unnaweza kununua madirisha zaidi ya 7 ya aluminium ukamalizia nyumba yako
4.Unaweza kununua bodaboda ikakuingizia hata 20,000 kwa siku.
5.Huu ni mtaji tosha kwa biashara ya tigopesa etc
6.Unaweza kununua mabati 100 au zaidi
Kuna vitu kibao vya kufanyia hio hela kuliko kununua simu. Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
NB:Hii haihusu those who CAN AFFORD that phone.
we acha tu!
its good kukua though!
the other day nimeona mvi moja kichwani!
nikasema ewaaaah ,taraaaaah!
Endelea tu
Hahaha, hapo kwenye mvi hapo. Ukiona moja tu unaanza "ewaaa, uzee unaingia tartiiibu". Binafsi sizihesabu tena, nahisi i'm Lowasa in the making.we acha tu!
its good kukua though!
the other day nimeona mvi moja kichwani!
nikasema ewaaaah ,taraaaaah!
Huu mkakati wako hatari sana.Niambie Mali...
Hahahaha........works really well.Duh! Wewe muhenga una balaa!
Mkuu, yani tayari umadhani umri wangu ni wa kuwa mamvi? Mbona tunazeeshana aseeKama mpaka umri huo hazijajaa kichwa kizima basi wewe sio mamvi


Hahaha, Dah! Sawa mkuu.Ha ha ha nilisahau kuwa wewe ni under 30!
Kawaida watu ambao hawajui kutafuta pesa, hawaoni huruma.Plan yake imefanikiwa.
Mbona mm inakuja r = 1235469856.44586![]()
r=-1
Nenda ukajengee makaburi yao yawe na muonekano mzuri.Wazee wangu Wamefariki Mkuu
Mwanaume kaongea.You people
When we say wife material, they are not a finished product. Neither are we. There thing we all need to unlearn and learn.
Take trouble to mold your partner, take trouble to mold yourself and move forward.
Hakuna mtu aliyezaliwa kama mke au kama Mume bali kuna mchakato wa kuwa Mke au Mume.
Tusaidiane kufanyika Mke au Mume bora. Tusitegeme kumkuta mtu kama mkamilifu there and then.
Inawezekana huyu dada hana shida ila ni wa kusaidia tu kwenye kuweka vipaumbele au kumsaidia kuepuka maisha ya mashindano au ya kupenda vya juu kulingana na hali ya wakati huo. Kikubwa saidianeni ninyi kwa ninyi kuwa bora.
Otherwise kutumia kakigezo kimoja kumhukumu mtu ni sawa na kujilisha upepo.
We are very complicated beings.