Bado wanawake wanaonekana kama kitu sio mtu

Bado wanawake wanaonekana kama kitu sio mtu

Man Middo tz

Senior Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
182
Reaction score
280
Washaimba wasanii nyimbo nyingi kuelezea nafasi ya mwanamke katika jamii, Washaandika waandishi wengi wa hadithi na vitabu kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii.

Serikali na asasi za kiraia zimeongea na kuitetea nafasi ya mwanamke katika jamii.

Lakini bado mpaka leo mwanamke anaonekana kama kitu sio mtu. Ukiangalia show nyingi za wasanii sio wakiume tu hata hao wakike wenyewe hawajiweki kwenye nafasi ya kuheshimika kama watu wanavyoimba mapambio ya kuwasifia kila siku.

Hiyo picha hapo[emoji1427] ni Jux wakati akizindua Album yake "King of heart"

Kwa watu wa burudani ni kitu cha kawaida na Cha kufurahia, lakini upande mwingine ukifikiria nafasi ya mwanamke ilivyotumika hapo ni zaidi ya chombo Cha starehe.

Jux kavaa vizuri tu, why huyo mwanamke? Why mkao huo? Kwamba Jux hayo ndio Mahaba? Kwamba huko ndio kupetipeti? Kwamba alichoimba hapo bila kumuweka mwanamke mkao huo, ujumbe hauwezi kufika?

#NOTE: Wanawake zitambueni thamani zenu. Nyie ni wathamani mnoo, Tafadhali MJIJALI, MJIPENDE, MJITHAMINI kabla wanaume hawajafanya hivyo.

By @middotz_

20221212_090352.jpg
 
SASA HIKO UNACHOKISEMEA KWENYE PICHA... NDICHO ASASI ZA KIRAIA ZINATAKA...

Hizo asasi za kupigania haki za wanawake... Wanachopigana nacho kwamba hawataki mwanamke atulie na astaarabike...

Huo ndio ukweli.
 
Sina Nia ya kuishusha heshima na thamani ya mwanamke! Ila najiuliza...

Hivi mwanamke ili uonekane mrembo ni lazima ujitoboe toboe kila sehemu ya mwili wako?

Dada yangu Ili uonekane Unique ni lazima ujitoboe toboe mwilini?

Ili uonekane ki-fashion ni lazima ujitoboe toboe mwilini?

Kama sio hivyo kwanini Dada zangu mnafanya hivi? Ili uonekane Expensive sana au tukuone kuwa pesa unayo?
***
Thamani ya mwanamke inazidi kushuka, saivi majina ya hovyo yote wanapewa wadada. Wanaojitoboa saiv baadala ya kuonekana expensive ndio wanaonekana Cheap.

Chura ndio jina lao saiv, na wenyewe wameridhika nalo na wamekubali.
[emoji1427]
Mwili wa mwanamke ni wathamani sana, mwili wa mwanamke ni wakupewa heshima na kila mtu.

Dada zangu ipeni thamani na muiheshimu mili yenu kabla wanaume hawajafanya hivyo.

Take note and take action
@middotz_[emoji1607] was here.
1670827192690.jpg
 
Washaimba wasanii nyimbo nyingi kuelezea nafasi ya mwanamke katika jamii, Washaandika waandishi wengi wa hadithi na vitabu kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii.

Serikali na asasi za kiraia zimeongea na kuitetea nafasi ya mwanamke katika jamii.

Lakini bado mpaka leo mwanamke anaonekana kama kitu sio mtu. Ukiangalia show nyingi za wasanii sio wakiume tu hata hao wakike wenyewe hawajiweki kwenye nafasi ya kuheshimika kama watu wanavyoimba mapambio ya kuwasifia kila siku.

Hiyo picha hapo[emoji1427] ni Jux wakati akizindua Album yake "King of heart"

Kwa watu wa burudani ni kitu cha kawaida na Cha kufurahia, lakini upande mwingine ukifikiria nafasi ya mwanamke ilivyotumika hapo ni zaidi ya chombo Cha starehe.

Jux kavaa vizuri tu, why huyo mwanamke? Why mkao huo? Kwamba Jux hayo ndio Mahaba? Kwamba huko ndio kupetipeti? Kwamba alichoimba hapo bila kumuweka mwanamke mkao huo, ujumbe hauwezi kufika?

#NOTE: Wanawake zitambueni thamani zenu. Nyie ni wathamani mnoo, Tafadhali MJIJALI, MJIPENDE, MJITHAMINI kabla wanaume hawajafanya hivyo.

By @middotz_

View attachment 2450554
Hakika niaibu mkuu
 
Let the nature take place Hadi leo hatujuwi ni story gani walipiga ye na nyoka so utajihangaisha bure tu.
 
Naungana na mkuu hapo juu, bwana Chupayamaji

Kimsingi wanawake, hiyo ndiyo asili yao... Hata hizo asasi zifanyaje, bado hazitaweza kushindana na asili!!
 
Back
Top Bottom