Kwani lazima kulima nyanya?![]()
Wewe uliyeajiriwa upo ofisini, acha kudhalau na kuwaona vijana kama hawana jipyaa kisa wapo tu wanasubiri ajira
Eti nendeni mkalime huko vijijini, akishalima, akavuna apeleke wapi??
Viwanda hakuna, Ajira mpyaa hakuna, masoko hakuna
[emoji57] [emoji57] [emoji57]
kwanini hukubadili mazao?Mkuu umesema kweli,mimi nililima nyanya mara tatu lkn tatizo ni Soko yaani unasumbuka kulima halafu unasumbuka tena kutafuta soko,Kilimo bongo bado sana labda miaka mia ijayo.
Huu ni upotoshaji wa kiwango cha juu![]()
Wewe uliyeajiriwa upo ofisini, acha kudhalau na kuwaona vijana kama hawana jipyaa kisa wapo tu wanasubiri ajira
Eti nendeni mkalime huko vijijini, akishalima, akavuna apeleke wapi??
Viwanda hakuna, Ajira mpyaa hakuna, masoko hakuna
[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Kama huna information za kutosha kuhusu jambo lolote si vyema kulizungumzia. Nahisi na ww hunaUpotoshaji?? We
endelea kusoma dictionary ya upotoshaji
![]()
Wewe uliyeajiriwa upo ofisini, acha kudhalau na kuwaona vijana kama hawana jipyaa kisa wapo tu wanasubiri ajira
Eti nendeni mkalime huko vijijini, akishalima, akavuna apeleke wapi??
Viwanda hakuna, Ajira mpyaa hakuna, masoko hakuna
[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Mkuu umesema kweli,mimi nililima nyanya mara tatu lkn tatizo ni Soko yaani unasumbuka kulima halafu unasumbuka tena kutafuta soko,Kilimo bongo bado sana labda miaka mia ijayo.
Máskini nchi yangu Tanzania[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Kwani lazima kulima nyanya?
kwanini hukubadili mazao?
Tatizo hamlimi kwa common sense ya ukulima biashara.Upotoshaji?? We si upo dar kwa shemeji
endelea kusoma dictionary ya upotoshaji
Unasemaje? Hivi huyo mkulima unayemzungumzia hapa ni wa aina gani? Unaishi taifa gani wewe? Mbona unaongea kirahisi rahisi sana? Unamjua mkulima halisi wa Tanzania yupoje? Eti unamfananisha mkulima na kampuni, una akili wewe? Wakulima wengi Tanzania ni wa kuhurumiwa. Ni masikini, hawana exposure yoyote, hawana elimu. We dogo endelea kuishi hapo kwa mume wa dada yako na kufuatilia tamthilia kwenye king'amuzi cha azam haya mambo mengine huyajui funga domo lakoKama huna information za kutosha kuhusu jambo lolote si vyema kulizungumzia. Nahisi na ww huna
Mkuu umekurupuka sana. Kilimo kinalipa kama hujabweteka. Badala ya kutafuta soko unasubiri wanunuzi wakutafute?????????? Hivi huoni makampuni yanavyogangaika kutafuta wateja wa bidhaa zao! Wakulima nao yawapasa wajihangaishe kutafuta wateja. Nashukuru kunitusi kwamba nipo kwa mume wa dada nikichezea remote
Yes ulichoandika hapa kimesadifu jina lako.Jiajiri kutokana na furusa iliyo karibu yako...hata kuuza mitumba,genge nk sio lazima kulima nyanya unaweza kulima hata mazao yanayohifadhika kama mahindi,mpunga mtama na nataka zingine....tusiwe watu wakulalamika tu
Majibu yako yanaonyesha dhahili kuwa hujui lolote kuhusu kilimo. Unachokijua ni lugha chafuUnasemaje? Hivi huyo mkulima unayemzungumzia hapa ni wa aina gani? Unaishi taifa gani wewe? Mbona unaongea kirahisi rahisi sana? Unamjua mkulima halisi wa Tanzania yupoje? Eti unamfananisha mkulima na kampuni, una akili wewe? Wakulima wengi Tanzania ni wa kuhurumiwa. Ni masikini, hawana exposure yoyote, hawana elimu. We dogo endelea kuishi hapo kwa mume wa dada yako na kufuatilia tamthilia kwenye king'amuzi cha azam haya mambo mengine huyajui funga domo lako
Wewe unajifanya wa mjini lakini unalima huku unajifananisha na wakulima wa vijijini huko Namtumbo?Unasemaje? Hivi huyo mkulima unayemzungumzia hapa ni wa aina gani? Unaishi taifa gani wewe? Mbona unaongea kirahisi rahisi sana? Unamjua mkulima halisi wa Tanzania yupoje? Eti unamfananisha mkulima na kampuni, una akili wewe? Wakulima wengi Tanzania ni wa kuhurumiwa. Ni masikini, hawana exposure yoyote, hawana elimu. We dogo endelea kuishi hapo kwa mume wa dada yako na kufuatilia tamthilia kwenye king'amuzi cha azam haya mambo mengine huyajui funga domo lako