ivunya
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 2,290
- 2,230
Ni kweli kabsa tazama mikoa ya kusini mbaazi bei ilikuwa 1500 ikashuka Muda mfupi kufika 900, serikali ikasitisha zoezi la kununua mpka bei elekeza mpaka sasa hivi tunapozungumza bei ya kununua mbaazi ni shilling 600. Kutoka bei 1500 mpaka 600 ni shida sana. Shilling 600 mpaka kuja kuuza mbaaza ukapata laki 1 (100000) kazi IPO