Bado siku tisa tu

Bado siku tisa tu

Mbona mijanaume mingi hapa inaongelea ndoa kama kitu kibaya hv? Kama yako imekuwa jehanam usimtishe mwenzako bwana.! Hongera kwa kufikia hatua hyo. MUNGU AKUPE MAARIFA NA AKILI YA KUISHI NA MKEO!
 
[asante

QUOTE=Tized;6003587]Una uchaguzi wa kuifanya kuwa ndoa ya mfano mzuri au mbaya, Kwa vyovyote itakavyokuwa keep up the spirit na uelewe mkeo ni mtu na ana madhaifu mengi kama ya kwako maana naye ni binadamu, Jitahidi kujifunza kusamehe na kuvumiliana. Never regret this decision you are making.

Pili punguza kwaito kaka siku ya ndoa, Make sure kabla ya siku ya pili kuingia (Kabla ya saa sita usiku) uwe umetimiza ahadi(patano) yako ya ndoa ''NAKUOA LEO HII'' agreement hii hukamilika mnapokutana kimwili maana ndio muunganiko wa mtu na mtu kuwa mwili mmoja. and this has to happen the same day. (wengi wanaweza kupuuza hili lakini ni ndio NDOA yenyewe)

Tatu, Kama umewahi kuumiza watu wengine au kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wengine, kumbuka ku-denounce uhusiano huo maana bado unakuwaga binding kiroho hata kama mmeachana lakini mmewahi kufanya ngono. Unaweza kuta mambo yako yanapinda pinda kumbe ni maroho au mabalaa ya mmoja wa ex wako maana ukilala na mtu kimwili mnakuwa mmoja according to holy scripture unachukua baraka na laana zake same na yeye anachukua zako (Mnaunganika katika spiritual realm)

Wenye ufahamu zaidi watanisaidia kufafanua zaidi.
Nakutakia kila la heri na Maisha mema ndugu.[/QUOTE]
 
Bado siku kenda uache kwenda club...
Bado siku kenda uache kulala na pensi
Bado siku kenda ratiba yako ya kijiweni iharibiwe vibaya
Bado siku kenda kabla hujaingia jela
Bado siku kenda uanze kupandwa vipresha kama unamrizisha
Bado siku kenda uanze kutoa ela ya mboga home
Bado siku kenda ukome kulala nje na home bila 'ruhusa'
Bado siku kenda washkaji zako ambao hawajaoa kukutenga
Bado siku kenda uanze kunyemelea nyumba ndogo
Bado siku kenda uache uasherati na uanze uzinzi
Bado siku kenda uwe na siku za kwenda kazini ukiwa umekasirika
Bado siku kenda uanze kuwaza kama mkeo anaibwa

BADO SIKU KENDA KABLA MUVI YA MAISHA YAKO KUANZA PART 2...

karibu huku kijiweni na kila la heri...
aissss!kumbe ni kifungo!!!!vipi baada ya hizo siku kenda akichoose kuendelea na PART 1?!
 
bado siku tisa uwe member wa chama cha kulala uchi duniani(CHAKUDU);wazo tu mshirikishe mwenzio na kwenye madeni unayolopa swala la kukutana na finca wanachukua kochi bila taatifa n laanda mjuze ;wenzio
 
Bado siku 9 kina Mwanaisha hawatakugusagusa tena pale club. Kila la heri, umheshimu mwanandoa mwenzako.
 
Karibu sana ndoa ni kitu chema. Inategemea tu na wewe ulivyojipanga. Wewe mwenyewe unaweza kuifanya iwe chungu au nzuri. Ndoa sio ndoano naamini ulichagua kilicho chema na wewe ni mwema pia. Be blessed abundantly
 
bado siku tisa tu uanze kushinda bar mpaka saa saa saba za usiku kukwepa makelele ya nyumbani


bado siku tisa tu uone uchungu wa kumegewa maana ulikua unaona raha kuwamega wake za wenzako
 
Kuwa mwaminifu kwenye ndoa yako,wewe na mkeo muwe na katiba yenu ndugu na watu wa karibu wasiwaendeshe na kusiwe na siri kati ni hayo tu bro na maisha mema ya ndoa na yenye baraka
 
Nakupatia mistari hii, ni mizuri sana na ni changamoto kwa wengine, MANI, zumbemkuu, saudari karibieni hapa niwapige Neno. Neno hili linatoka Mhubiri 4:7-

Kisha nikarudi tena, na kuona ubatili chini ya jua.4.8 Kuna mtu aliye peke yake, wala hana wa pili wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.
4.9 Afadhali kuwa wawili kuliko mmoja; Maana wapata ijara njema kwa kazi yao.
4.10 Kwa maana wakianguka, mmoja wao atamwinua mwenzake; lakini ole wake aliye peke yake aangukapo, wala hana mwingine wa kumwinua!
4.11 Tena, wawili wakilala pamoja, hapo watapata moto; lakini mmoja aliye peke yake tu awezaje kuona moto?
4.12 Hata ikiwa mtu aweza kumshinda yule aliye peke yake, wawili watampinga; wala kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi.

mpwa imebidi ni copy na ku'pest, hahahahahah, hii kali aloo.
 
Mosie Myumba haya nayo ni Ubatili na kujilisha Upepo, maana kila kitu chini ya Jua ni Ubatili mtupu........nampenda sana Mhubiri -Kwenye Bible ana busara ya ajabu kuliko busara yeynyewe
mpwa imebidi ni copy na ku'pest, hahahahahah, hii kali aloo.
 
kachukue cheti ,mitihani itakuja baadae
--says no married man/woman--
 
Back
Top Bottom