Bado sijaona wa kumzidi Rihanna

Katika Muziki suala la nani ni bora ni personal preference, hivyo ni halali kwako kuja na hitimisho hilo. Hata hivyo huwezi jua, unaweza kukutana na msanii katika siku zijazo ambaye utavutiwa naye kuliko Rihanna. Endelea ku-enjoy miziki ya mitindo tofauti tofauti utakuja niambia.
Ondoa maandishi meusi yananiumiza macho Bro au ndo Swagga?
 


List hiyo hapo ya best selling female artist of all times. Inaongozwa na Maddona inafuatiwa na riri then Mariah carey. Hakuna cha queen bee. Taylor swift Whitney Houston (RIP) Ariana Celine dion wala cha nani nani. Let us take time to appreciate na ukizingatia ni black si rahisi kutunishiana misuli na artist wakizungu
I second u
 
Rihanna hata aseme leo atoe nyimbo basi itabamba kwenye kila platform ya mziki unayoijua wewe.
 
Taylor mwanzo alikuwa anaimba Country, ila 2014 akafanya transformation kwenda kwenye Pop kwa kutoa album ya 1989!
Ngoma zake kubwa ni pamoja na Blank Space, Shake it off, Cruel Summer, Style na ngoma ya karibuni inayofanya vizuri ni Anti-Hero toka kwenye Album ya Midnight aliyoitoa mwaka jana October!

Kifupi Taylor Wengi wanamconsider kama Music Industry, ameweza kuvunja records nyingi pamoja na kupata tuzo lukuki. Tour yake aliyoipa jina la Eras Tour imempa mafanikio makubwa huku mapato yake yakikadiriwa kufikia usd 1b na zaidi baada ya Tour kuisha.

Pia mpaka sasa ana monthly listeners takribani milion 101, huku akishika nafasi ya pili baada ya The Weeknd.

Dalili zinaonesha Taylor Swift anapambaniwa kuwa the next big thing yani afunike kila record iliyowahi kuwekwa na hawa black artist waliotawala muziki kama whitney au Mj.

Nakumbuka kuna kipindi watu walitaka kumfananisha na whitney, internet iliwaka moto kwa sababu in reality, hana hata nusu ya talent ya Mariah Carey kama Producer, writer and singer.

Taylor atafika mbali sanaaaaa maana bado umri unamruhusu Ila kufikia ile level ya heshima kama whitney, Mariah or celine ni ngumu kwa sababu, sio pure talent
 
Dalili zinaonesha Taylor Swift anapambaniwa kuwa the next big thing yani afunike kila record iliyowahi kuwekwa na hawa black artist waliotawala muziki kama whitney au Mj.

Nakumbuka kuna kipindi watu walitaka kumfananisha na whitney, internet iliwaka moto kwa sababu in reality, hana hata nusu ya talent ya Mariah Carey kama Producer, writer and singer.

Taylor atafika mbali sanaaaaa maana bado umri unamruhusu Ila kufikia ile level ya heshima kama whitney, Mariah or celine ni ngumu kwa sababu, sio pure talent
Unazingua
 
Taylor swift 🤡 anajina maarufu kuliko mziki wake

Nitajie worldwide hitsong moja tu ya huyo manzi ?

Mimi nakutajia tatu tu za Rihanna zengine naacha
  • Man down
  • Work
  • What's my name
Shake It Off
Blank Space
Anti-Hero
Back to December
You Belong with Me
Love story
Don’t Wanna Live Forever’ with Zayn
Bad blood
Hizo zote zina zaidi ya stream bilion kila moja na zina tuzo kibao tu
 
Ushawahi kuangalia zile national anthem kwa Super Bowl. Ya Lady Gaga huwa rated kwa ukubwa baada ya whitney houston ambayo ndio inakubalika kama the best of all time

Gaga ni singer, producer, writer , awarded actress, etc

Achana nae mkuu
Fundi sana
 
Shake It Off
Blank Space
Anti-Hero
Back to December
You Belong with Me
Love story
Don’t Wanna Live Forever’ with Zayn
Bad blood
Hizo zote zina zaidi ya stream bilion kila moja na zina tuzo kibao tu

Run this town
Man down
What’s my name (her all time best)
Rude boy
Diamonds
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom