Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,471
- 105,023
Mwanzoni, sikuamini kwamba walikuwa wamekufa. Kwa hakika nikiwaza sana namna gani wote waliweza kufa kwa pamoja...
Wakati pale nilitambua kwamba ilikuwa kweli wamekufa, bado ilinichukua muda kitambo kuamini kama kweli walikua wamekufa.
Ama kwahakika, hili ni tukio lililo niliumiza sana na kunifanyia majeraha makubwa moyoni, na katika maisha yangu sikuwahi kuumizwa na kujeruhiwa moyoni kwa namna ile...
Siku zilivyo zidi kusogea nilijisikia kama kuishi bila wao haina maana. Kwa muda wa miezi mingi, nilikuwa ninalia kila siku..
Nilijilaumu kwa sababu niliacha mtu mwingine aendeshe gari lile kwasababu tu nilichelewa kurudi kutoka kwenye starehe....
Pengine hawangekufa ikiwa ni mimi ndie ningekua naendesha gari lile.
“Miaka kumi na sita imepita, na nimerudilia maisha yangu ya kawaida. Lakini, kifo chao kimeacha jeraha na sonona katika moyo wangu. Hiki ni kidonda ambacho hakijapona mupaka sasa, kwa babu nahisi kama pengine nisinge enda kwenye starehe, watu hawa wasinge kufa"
Wakati pale nilitambua kwamba ilikuwa kweli wamekufa, bado ilinichukua muda kitambo kuamini kama kweli walikua wamekufa. Ama kwahakika, hili ni tukio lililo niliumiza sana na kunifanyia majeraha makubwa moyoni, na katika maisha yangu sikuwahi kuumizwa na kujeruhiwa moyoni kwa namna ile...
Siku zilivyo zidi kusogea nilijisikia kama kuishi bila wao haina maana. Kwa muda wa miezi mingi, nilikuwa ninalia kila siku..
Nilijilaumu kwa sababu niliacha mtu mwingine aendeshe gari lile kwasababu tu nilichelewa kurudi kutoka kwenye starehe....
Pengine hawangekufa ikiwa ni mimi ndie ningekua naendesha gari lile.“Miaka kumi na sita imepita, na nimerudilia maisha yangu ya kawaida. Lakini, kifo chao kimeacha jeraha na sonona katika moyo wangu. Hiki ni kidonda ambacho hakijapona mupaka sasa, kwa babu nahisi kama pengine nisinge enda kwenye starehe, watu hawa wasinge kufa"